Hakuna ulichoacha mkuu. I wish ungeiona mioyo ya uliowashauri. Na kwa neno lako naamini wameguswa. Kitu muhimu sana. Waache kucheza na maisha ya watu. Wanaolalamikia mishahara midogo wapo ila si wengi sana WVT. Ubaya mkubwa sana ni kikundi cha watu kinachocheza na maisha ya watu hasa kwenye...
Afu kuna zile ajira za magumashi zinazotangazwa halafu hawaajiri watu. Au wanatangaza nafasi ya mtu ambayo yupo mtu anatumikia the same post
Hakuna waloandika kuhusu ajira ya facilitatiors wakati wameanza kuwaondoa wengine wenye vyeo hivyohivyo. Sema kidogo kuhusu hii
Nina tuswali tuwili tu
1. Carrying capacity yake please??
2. Kuna tetesi kuwa hizi ndege zimelipiwa cash wakati wa manunuzi. Wakari wenzetu hukopa na kulipa tudogo tudogo. Sasa kama mbili ni cash inetumika. Si watupe nyongeza ya nyingine mbili kwa mkopo.??
3. Ila sasa ni kama tunahitaji moja...
Kuna jamaa alikuwa World Vision akajiuzulu baada ya kupata kazi UNDP akaenda UNDP akaanza kazi kule., jamaa wakamfuata wakamwongezea dau akarudi World Vision baada ya kukaa UNDP kama miezi 6.
Aliporejea akapewa cheo cha Associate Director. Amepiga kazi kama miezi mitano baadae wakamretrech...
Natamani sana kujua hatua zilizochukuliwa hasa suala la ajira zinazotangazwa kila uchao. Nasikia unaweza ona tanzazo la position flani halafu baada ya miezi mitano hivi wanafanya restructuring wanaondoa ile nafasi wakati washakuajiri.
Sasa kichaa chake ni pale unapokuta ulikotoka ulinyea kambi...
Mkuu wa nchi alianza unono kwenye ishu za uteuzi ila sasa wale wahusika haswaaa wanaofanya halmashauri zitekeleze malengo hajawagusa kabisa.
Naona kama sasa ni wakati wa Mkuu wa kaya kuteua wakuu wa idara nchi nzima tena ila asiweke makada. Aweke watendaji.
Nimemkumbushia tu. Napita hivi
We bwana dunia haisimami. Nguo utanunua na nyumba ujenge. Ndo tofauti ya wewe uliyeoa na ambaye hajaoa. Nyumba zooote zilizopo mjini za wanaume wenzio huxioni hadi usimamishe dunia kisa unajenga?.
Hapo nakushauri uongeze 1 hour extra time job ili kuongeza kipato upate za ujenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.