Rudia kusoma ulichopost tena na tena ukielewa ufute maelezo yako usipoelewa basi tena hakuna namna ya kukusaidia
ni vigumu sana ndo maana Rais wetu kila uchao nenoe vilaza halimtoki
Watanzania wakikuchoka kidogo tu shida. linganisha thamani ya hoja ya mtu na uijibu kama ilivyo huwezi siyo lazima uoneshe unampinga tu kwa vyovyote maana hata kama kuna zuri aliwahi kulifanya ukalipenda hukusema kitu nahisi ulinuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.