ah hahahahahaaaaa sio kwasababu hakuna kwa kwendaHatimaye imani kwa mahakama imerejea
'kesi ya nyani hakimu tumbili'..Chama kikuu cha upinzani visiwani Zanzibar, CUF, kimelifikisha mahakamani Jeshi la Polisi kwa madai ya kuwashikilia kinyume na taratibu maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa chama hicho.
Kati ya waliokamatwa yupo waziri wa zamani.
mahakama ni serikali?Cuf washaanza kuitambua serikali?
Kwani mahakama na polisi ndio serikali?Cuf washaanza kuitambua serikali?