Madalali ambao mpo arusha ninauza kiwanja Chenye Nyumba mbili za tope kipo Kisongo centre karibu kabisa na soko Mita kama 200 kutoka Barabara kuu ya Babati Arusha ukubwa ni 20*20 bei mil.10 maongezi yapo.
Tuwasiliane 0764 759 314 Adelack Mazula nipo Mwanza
Wajumbe wote wa vikao vya Maamuzi kwa kutii na kufuata kanuni za chama kufanya maamuzi kwa Utulivu maana ule wakati mabadiliko uliotabiriwa na Baba wa Taifa kuwa ukifika Basi mabadiliko tutayapata ndani ya CCM na tukikosa tutayapata nje ya ccm lakini ipo nafasi kubwa sana ya kuyapata Mabadiliko...
Uandikishaji wa BVR hapa Igoma kituo cha Zahanati umetia fora, zaidi ya watu 3000 wapo hapa mida hii ila mashine zipo 2 hazijafika kuna hali ya kutoelewana kati ya waandishi na waandikishwaji Leo wanadai wataandika watu mia tu.
Wameita Polisi kwa msaada zaidi.
kiwanja chenye Nyumba mbili za tope kipo kisongo Arusha karibu na soko la kisongo mita 50 toka sokoni na mita 160 toka bara bara kuu iendayo Arusha mjini ukubwa 20*20 bei mill.10 mazungumzo yapo.tuwasiliane 0764 759 314 adelack mazula nipo mwanza
Kiwanja chenye Nyumba mbili za tope kipo Kisongo Arusha karibu na soko la Kisongo mita 50 toka sokoni na mita 160 toka barabara kuu iendayo Arusha mjini bei milioni 10 mazungumzo yapo. Tuwasiliane 0764 759 314 Adelack Mazula nipo Mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.