Nakushukuru ila naomba mawazo yeu pia maana ni mara yangu ya kwanza kabisa kuanza biashara hii na ni mavuno yangu ya kwanza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahanini sana wakuu kama nilivyo anza kueleza apo awali kitunguu hichi bado mda wa mavuno naomba radhi kwa usumbufu ila mwisho wa mwezi huu nitaleta kila kinacho itajika kukamilisha biashara hii
Asanteni sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu natangaza biashara ya vitunguu ambavyo bado vipo shamba ila mwisho wa mwezi huu vitakua tayari
Eneo ni tarime mkoa wa mara.
Hecta 2 tuu.
Asanteni sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.