Kwa mujibu wa TBC1 Waziri Nyalandu amesema wafanyakazi wa TANAPA Makao Makao Makuu wanahusika na tuhuma za rushwa na wapo pale kwa ajili ya maslahi yao
Tatizo ni yeye kupata au kuna lingine?Kwa sababu naona kama alikuwa shortlisted ina maana wote mlikuwa mna equal chance za kupata.Pia nadhani kwa masomo ya kibongobongo mtu aliyemaliza mfano mwaka huu anakuwa azikubuka sana theories kuliko aliyemaliza miaka 2 au mmoja nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.