Recent content by Mazima1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.k Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili, -kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa -Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu. Binafsi nadoubt kwa sababu...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii, Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌 Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Nimekuelewa mkuu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Shukhrani mkuu Shukhrani mkuu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Sasa wewe ndo unaelewa ninachokipitia yaani ni hivi hivi kama ulivyosema
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Mshana Jr
  7. M

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Habari Wana JF, Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili Ni takribani miezi miwili sasa kuna hii incidence imekuwa ikijirudia mara kwa mara na mwanzoni nilikuwa nikiipuuza ila sasa nahisi sio hali ya kawaida Hali yenyewe ni hivi: Nimekuwa nikiona namba 123 mara kwa mara kwa mfano...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya watu huondoka bila kurudi wala kuwasiliana na ndugu kwa miaka mingi?

    Kama unatumia Facebook nenda search page inaitwa Club tz Club Tz Ni page ya watu kutafuta wapendwa wao Nimeona wengi wakifanikiwa Muhimu mtumie details majina,picha n.k Tanzania ndogo hii kama yupo atapatikana.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya watu huondoka bila kurudi wala kuwasiliana na ndugu kwa miaka mingi?

    Mtaani kwetu Kuna mzee amerudi juzi kati, wakati anaondoka aliacha mtoto mchanga now huyo mtoto ana miaka 47
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini baadhi ya watu huondoka bila kurudi wala kuwasiliana na ndugu kwa miaka mingi?

    Wiki hii nimekuwa nikisoma posts kwenye page moja pale Facebook ambapo ni posts za watu wanaotafuta wapendwa wao waliopotea kwa miaka mingi. Sasa unakuta mtu aliondoka miaka ya 80 au 90 na hajawahi kurudi wala kuwa na mawasiliano na ndugu zake. Kwenye hiyo page unakuta mtu alipotea labda miaka...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ni Biashara ipi iko na faida mzuri

    Upo mkoa gani mkuu?
  12. M

    JamiiForums Tanzania KERO TANESCO hivi ni Kwanini units za umeme wa Luku sasa hivi zinaisha kwa haraka kuliko zamani?

    Binafsi ninapoishi hili tatizo limeanza hata before maandamano sijui shida ni Nini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji gari kwa ajili ya biashara ya taxi mtandao (7-8 Milion budget)

    Weka namba hapa
Back
Top Bottom