Sana kaka ni majonzi kwa wengi,Mimi nimejitolea kutoa hii taarifa kwa sababu kipindi Fulani tukiwa kwenye story za hapa na pale ndo nikamwambia kama nipo JF akanambia na yeye yupo na akanionesha hii ID yake,akanambia amepiga sana hela JF kipindi inaanzishwa hasa kwenye haya mambo ya...
Sana yaan zaidi ya sana pia alikuwa na mawazo chanya kwenye utafutaji wa pesa,amefanya mambo mengi ikiwemo ufundi wa simu,ufugaji wa samaki,operator wa mitambo viwandani hadi akapata ukiziwi,ameendesha vichwa vya treni kwa mkataba wa muda mfupi hapo hapo alishakuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi...
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya Slave
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi
Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama
Alazwe mahala...
Lilikuwa ni tatizo la
Ni kweli lilikuwa tatizo la kiroho ila nilifanikiwa kujinasua na nikasimulia hapa
https://www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-maombi-nimepata-kazi-ashukuriwe-mungu.2450607/
Mkuu nilifanikiwa kupitia maombi na nikasimulia kwenye huu Uzi
https://www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-maombi-nimepata-kazi-ashukuriwe-mungu.2450607/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.