Habari wakuu nimeona post moja huko mtandaoni kumhusu nikashawishika kupata taarifa kumhusu huyu muhubiri/mchungaji aliyekuwa anaitwa Moses Kulola,
Nasikia juu juu tu kwamba ni mchungaji ambaye alifanya mambo makubwa kipindi hicho,
Kwa wewe ambaye ulikuwepo kipindi hicho ni nini uliwahi...
Mimi pia niliwahi kudoubt uwepo wa Mungu baada ya kaka angu kufariki na nilikuwa nabishana na walokole nawaambia kama Mungu angekuwepo basi kusingekuwepo na watu wanaoteseka na shida mbalimbali hapa duniani nikaacha kabisa na kwenda kanisani
Sahihi kabisa mkuu yaani nimetendewa muujiza katika maisha yangu,
Previously nilikuwa na mashaka na uwepo wa Mungu
Ila naona Mungu kaamua kunionesha ukuu wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.