Recent content by Mazima1

  1. M

    Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Shukhrani mkuu Shukhrani mkuu
  2. M

    Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Sasa wewe ndo unaelewa ninachokipitia yaani ni hivi hivi kama ulivyosema
  3. M

    Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili

    Habari Wana JF, Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili Ni takribani miezi miwili sasa kuna hii incidence imekuwa ikijirudia mara kwa mara na mwanzoni nilikuwa nikiipuuza ila sasa nahisi sio hali ya kawaida Hali yenyewe ni hivi: Nimekuwa nikiona namba 123 mara kwa mara kwa mfano...
  4. M

    Kwanini baadhi ya watu huondoka bila kurudi wala kuwasiliana na ndugu kwa miaka mingi?

    Kama unatumia Facebook nenda search page inaitwa Club tz Club Tz Ni page ya watu kutafuta wapendwa wao Nimeona wengi wakifanikiwa Muhimu mtumie details majina,picha n.k Tanzania ndogo hii kama yupo atapatikana.
  5. M

    Kwanini baadhi ya watu huondoka bila kurudi wala kuwasiliana na ndugu kwa miaka mingi?

    Mtaani kwetu Kuna mzee amerudi juzi kati, wakati anaondoka aliacha mtoto mchanga now huyo mtoto ana miaka 47
  6. M

    Kwanini baadhi ya watu huondoka bila kurudi wala kuwasiliana na ndugu kwa miaka mingi?

    Wiki hii nimekuwa nikisoma posts kwenye page moja pale Facebook ambapo ni posts za watu wanaotafuta wapendwa wao waliopotea kwa miaka mingi. Sasa unakuta mtu aliondoka miaka ya 80 au 90 na hajawahi kurudi wala kuwa na mawasiliano na ndugu zake. Kwenye hiyo page unakuta mtu alipotea labda miaka...
  7. M

    Ni Biashara ipi iko na faida mzuri

    Upo mkoa gani mkuu?
  8. M

    KERO TANESCO hivi ni Kwanini units za umeme wa Luku sasa hivi zinaisha kwa haraka kuliko zamani?

    Binafsi ninapoishi hili tatizo limeanza hata before maandamano sijui shida ni Nini?
  9. M

    Nahitaji gari kwa ajili ya biashara ya taxi mtandao (7-8 Milion budget)

    Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahitaji gari kwa ajili ya kufanyia biashara ya Taxi mtandao(Uber,bolt etc.) Bajeti yangu ni 7Milion to 8Milion Gari ipi inafaa?
  10. M

    Exploring Opportunity in Sales, HR, and Administration Personal assistant, Receptionist,Sales, Customer Service and Enumerator( data collection)

    Yea Yeah wapo pale apeleke ni opportunity nzuri for beginners Pia Kuna ofisi za kampuni ya kutoa mikopo kwa kina mama wajasiriamali inaitwa ASA microfinance huwa Wana vacancy for loan officers ofisi zao zipo around kinondoni (search location)
Back
Top Bottom