Kuhusu ndoto ya shule ya msingi ni kawaida tu huwa naota tupo darasani n.k
Ila Kuhusu ndoto ya kuota kijijini kwetu nakumbuka ndoto mbili,
-kuota nimekamatwa na polisi huku nimevaa mavazi ya wafungwa
-Kuota nipo na mama,baba tunatoka kulima kwenye mashamba ya watu.
Binafsi nadoubt kwa sababu...
Nilipoteza kazi since mwaka jana nipo nyumbani hadi leo hii,
Kuna Ile siku unaamka huna hata shilingi mia yaan hii hii shilingi mia moja ya kitanzania🙌🙌
Nimepiga interview nyingi then after hapo no feedback
Kuna interview nyingine nilifanya nikaambiwa nitaitwa second interview,hii nilikuwa na...
Habari Wana JF,
Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili
Ni takribani miezi miwili sasa kuna hii incidence imekuwa ikijirudia mara kwa mara na mwanzoni nilikuwa nikiipuuza ila sasa nahisi sio hali ya kawaida
Hali yenyewe ni hivi:
Nimekuwa nikiona namba 123 mara kwa mara kwa mfano...
Kama unatumia Facebook nenda search page inaitwa Club tz Club Tz
Ni page ya watu kutafuta wapendwa wao
Nimeona wengi wakifanikiwa
Muhimu mtumie details majina,picha n.k
Tanzania ndogo hii kama yupo atapatikana.
Wiki hii nimekuwa nikisoma posts kwenye page moja pale Facebook ambapo ni posts za watu wanaotafuta wapendwa wao waliopotea kwa miaka mingi.
Sasa unakuta mtu aliondoka miaka ya 80 au 90 na hajawahi kurudi wala kuwa na mawasiliano na ndugu zake. Kwenye hiyo page unakuta mtu alipotea labda miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.