Habari Wana JF,
Wataalam wa Numerology naomba msaada wenu kwenye hili
Ni takribani miezi miwili sasa kuna hii incidence imekuwa ikijirudia mara kwa mara na mwanzoni nilikuwa nikiipuuza ila sasa nahisi sio hali ya kawaida
Hali yenyewe ni hivi:
Nimekuwa nikiona namba 123 mara kwa mara kwa mfano...
Kama unatumia Facebook nenda search page inaitwa Club tz Club Tz
Ni page ya watu kutafuta wapendwa wao
Nimeona wengi wakifanikiwa
Muhimu mtumie details majina,picha n.k
Tanzania ndogo hii kama yupo atapatikana.
Wiki hii nimekuwa nikisoma posts kwenye page moja pale Facebook ambapo ni posts za watu wanaotafuta wapendwa wao waliopotea kwa miaka mingi.
Sasa unakuta mtu aliondoka miaka ya 80 au 90 na hajawahi kurudi wala kuwa na mawasiliano na ndugu zake. Kwenye hiyo page unakuta mtu alipotea labda miaka...
Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahitaji gari kwa ajili ya kufanyia biashara ya Taxi mtandao(Uber,bolt etc.)
Bajeti yangu ni 7Milion to 8Milion
Gari ipi inafaa?
Yea
Yeah wapo pale apeleke ni opportunity nzuri for beginners
Pia Kuna ofisi za kampuni ya kutoa mikopo kwa kina mama wajasiriamali inaitwa ASA microfinance huwa Wana vacancy for loan officers ofisi zao zipo around kinondoni (search location)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.