Recent content by Mazima1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum kumhusu Mtumishi Moses Kulola,Nini unafahamu kuhusu yeye?

    Habari wakuu nimeona post moja huko mtandaoni kumhusu nikashawishika kupata taarifa kumhusu huyu muhubiri/mchungaji aliyekuwa anaitwa Moses Kulola, Nasikia juu juu tu kwamba ni mchungaji ambaye alifanya mambo makubwa kipindi hicho, Kwa wewe ambaye ulikuwepo kipindi hicho ni nini uliwahi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Maximilian kolbe mwenge
  3. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Changamoto sana hii
  4. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Dah acha mkuu hii hali niliyopitia hata adui yangu simuombee aipitie
  5. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Mimi pia niliwahi kudoubt uwepo wa Mungu baada ya kaka angu kufariki na nilikuwa nabishana na walokole nawaambia kama Mungu angekuwepo basi kusingekuwepo na watu wanaoteseka na shida mbalimbali hapa duniani nikaacha kabisa na kwenda kanisani
  6. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Shukhrani sana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Ooh okay
  8. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Mimi nasali Roman Catholic mkuu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Mungu ni mwema sana
  10. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Kindly share your story,story zetu zinaweza kuwasaidia wengine, Binafsi nitamtegemea Mungu maisha yote yaliyobaki.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    hahah we umekuja kutuvunja mbavu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Sahihi kabisa mkuu yaani nimetendewa muujiza katika maisha yangu, Previously nilikuwa na mashaka na uwepo wa Mungu Ila naona Mungu kaamua kunionesha ukuu wake.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Ahsante mkuu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Sawa mkuu
Back
Top Bottom