Recent content by Mazima1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    I remember Kuna siku alinambia ye anafanya kazi tofauti tofauti kwa sababu anapenda kujipima uwezo wake yaan hapendi kufanya vitu vya kawaida
  2. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Sana kaka ni majonzi kwa wengi,Mimi nimejitolea kutoa hii taarifa kwa sababu kipindi Fulani tukiwa kwenye story za hapa na pale ndo nikamwambia kama nipo JF akanambia na yeye yupo na akanionesha hii ID yake,akanambia amepiga sana hela JF kipindi inaanzishwa hasa kwenye haya mambo ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Sana yaan zaidi ya sana pia alikuwa na mawazo chanya kwenye utafutaji wa pesa,amefanya mambo mengi ikiwemo ufundi wa simu,ufugaji wa samaki,operator wa mitambo viwandani hadi akapata ukiziwi,ameendesha vichwa vya treni kwa mkataba wa muda mfupi hapo hapo alishakuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Ni taarifa ya kweli kabisa mkuu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Yes mkuu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Slave
  7. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya Slave Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama Alazwe mahala...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Amina mtumishi,nipo makini Sana Sasa .
  9. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Ahsanteni kwa ushauri wenu nyote🙏
  10. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Ahsante sana mkuu kwa huu ushauri,nitazingatia.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Sahihi kabisa mkuu na Thomaso mmojawapo nilikuwa Mimi ila acha Mungu aitwe Mungu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Nilifanikiwa kutoka kwenye huo mtego na nilisimulia hapa https://www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-maombi-nimepata-kazi-ashukuriwe-mungu.2450607/
  13. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya maombi nimepata kazi,ashukuriwe Mungu

    Amina,nafurahi kuona baadhi ya watu mnanielewa,maana Kuna watu walipinga sana wakahisi naongea uongo All in all Mungu yupo na anatenda
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Lilikuwa ni tatizo la Ni kweli lilikuwa tatizo la kiroho ila nilifanikiwa kujinasua na nikasimulia hapa https://www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-maombi-nimepata-kazi-ashukuriwe-mungu.2450607/
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    Mkuu nilifanikiwa kupitia maombi na nikasimulia kwenye huu Uzi https://www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-maombi-nimepata-kazi-ashukuriwe-mungu.2450607/
Back
Top Bottom