Aina ya mazao ni Kilimo Cha mboga mboga kwa ujumla pamoja na mazao ya nafaka.
Aina ya udongo n kichanga.
Chanzo Cha maji ni bwawa kubwa ambalo Lina urefu MITA 60 upana MITA 30 kina MITA 2
Natarajia kuanza kuvuna Maharage mwezi huu nimeiona ni vema nianze kutafta soko mapema kabla ya kuanza kuvuna.
Aina ya Maharage ni Uyole Njano (goroli).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.