Recent content by mazagazagatza

  1. M

    Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

    Acheni kauli za kibaguzi! DP World ni wawekezaji. Kuwaita waarabu ni kauli za ubaguzi. Acheni pia upotoshaji. Hakuna bandari iliyouzwa,itakayouzwa wala ardhi aliyopewa muwekezaji.
  2. M

    Kwa tulipofikia ni bora serikali yote ijiuzulu na uitishwe uchaguzi kabla ya 2025 ili kupata serikali itayoipelekea nchi yetu mahali sahihi

    Nshala ni nani? Mitazamo ya kizamani na husda vinawasimbueni TU! Wacheni serkali ipige kazi kutuletea maendeleo bila mitutu na mambo ya kutekana!
  3. M

    Baada ya bandari kubinafisishwa kwa miaka 100, ninamuomba radhi chifu Mangungo

    Hivi wewe mporipori huwa unapata muda wa kuwaza na kufanya mambo yako kweli? Kila siku uko hapa kuropokaropoka vitu ambavyo havina maana na kupotosha ukweli! Acha serikali iongoze nchi kwa weledi na kifuata standard za waliofanikiwa. Wewe ishi kwenye hizo nadharia zako za kijima.
  4. M

    Kitabu cha Afrika Magufuli and Change chaingia Tanzania

    Atakuwa ameandika yeye mwenyewe. Huyo mwinginw ni zuga tu! Ni ujinga kabisa kudhani mnaweza kuendelea kuhadaa watanzania kwa kutumia jina la huyo dikteta wenu ambaye alikuwa ameteka akili za watanzania wasiojitambua waliokuwa wanafurahia mateso ya wenzao wasio na hatia ambao walidhurumiwa mali...
  5. M

    Makonda anawasalimu sana. Kwa sasa anapumzika tu akilea na kuenjoy maisha

    Huyu mshirika na mfadhili wa Musiba hawezi kupumzika asilani! Unamdanganya! Damu za watu wengi mno zinamlilia.
  6. M

    Rais mstaafu Jakaya Kikwete aongelea Ikulu mpya, aisifu kwa uzuri wake

    Kwani vituo vya hivi vituo vya mafuta vimejengwa kwa pesa za umma na serikali? Au ni vituo vya watu binafsi? Wakati mwingine unapojenga hoja kuwa na mantiki!
  7. M

    Ansbert Ngurumo, Neville Meena, Jesse Kwayu, na Absalom Kibanda, mjue mpo kwenye binocular, hiyo ni shibe ya muda tu

    Wao wameandika ukweli kulingana na vyanzo vyao. Wewe pia unaweza kuandika ukweli unaoijua katika miktadha huo!
  8. M

    Ndugu Jumanne Kishimba ni mtu wa aina gani haswa? Mbona ana uwezo mkubwa wa kujenga hoja tofauti na tulivyodhani?

    Acha kudanganya watu mchana kweupe Kwa stori zako za kuokoteza!
  9. M

    From the book 'I am the State' (Mimi ni Dola)

    Wewe kweli ni mzalendo uchwara! Acha watanzania wazalendo wa kweli waendelee kuweka wazi madudu ya yule kiongozi mwovu. Kama wewe unajua mazuri yake andika kitabu pia!
  10. M

    Mjue Steve Ndaula, mmiliki wa kampuni ya BMC iliyowatapeli watu zaidi ya Sh. Bilioni 16 kisha kukimbilia Dubai

    Kwa Tanzania ilivyo, kufa maskini ni kwa ujinga wako, watanzania walivyo rahisi kuwaibia unakufaje masikini?
  11. M

    Waziri Bashe acha kuchezea Kodi zetu kwa maono mfu! Kilimo siyo filamu

    Mpango wa block farm ungefanikiwa kana ungehusisha wakulima wazoefu,bila ubaguzi wa umri! Wakulima wenye uzoefu na mapenzi na kilimo ndio wanaweza kuvumilia suluba za kilimo! Hawa wakulina wa kuchonga watamuangusha mno mh Bashe! Nia ya mh Bashe ni nzuri,lakini njia anayotumia ni mbaya!
Back
Top Bottom