Hakuna mtu anajua kutia moyo kama huyu jamaa #jax66, 😂😂 Watu walikua washaanza kukubaliana na matokeo naona unaoturudisha Tena kwenye mixed feelings mzee🥲😂
Kama anakuheshimu, anakujali na kukupenda kweli, si vibaya..huwezi kuwa jumuisha single mothers wote kwa kauli moja, bali wapo wenye haiba zao nzuri tu na wanajiheshimu, isipokuwa walikutana na Wanaume wasio na malengo ya muda mrefu na wao..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.