Recent content by mayimba

  1. mayimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wenye wake wawili bila kuficha njooni tupeane uzoefu

    kuwa na wanawake zaidi ya mmoja iko kichwani mwa wanaume karibia woote dunia nzima inahitajika self control kuwa na mwanamke mmoja.hakuna mwanamke anaetamani kushare mwanaume hajawahi na hatakuwepo.wanaovumilia ukewenza wengi wao ni hawana Pa kwenda period! Note:hata wanawake pia wanatamani...
  2. mayimba

    JamiiForums Tanzania Wanaume (baadhi) wa Tanzania kufurahia Sensa, Low IQ!

    wanaume na wanawake wanazaliwa kwa uwiano sawa, tena kwa miaka ya karibuni watoto wa kiume wanazaliwa wengi sana, watoto wengi wa kiume wanaishia kipindi cha baleghe, pita majalalani uone idadi ya watoto wa kiume waliokimbia makwao utastaajabu, bangi, pombe wizi vyote kwao, mara nyingi watoto wa...
  3. mayimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiona mume wako kachepuka na mfanyakazi wa kazi za ndani kuna mawili

    😄😄😄😄😄😄😁😁😁😁😁🙌
  4. mayimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baba mkwe Shahidi wa Yehova kakataa mahari ya pesa, anataka apelekewe magovi matano ya watu wazima

    Pole saaana, haya vipeperushi wanatoa wapi? Wanaomba sadaka? Ushawahi ona wanaomba chakula, ada hela ya matibabu sehemu? Unajua cost ya kipeperushi kimoja chenye rangi?ukiwa interested unapewa Bure.think big ndg!
  5. mayimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimefanya mapenzi na boss wangu, sijatosheka kabisa

    Wale Wana sura za kazi na akili kuuubwa, utawawezea wapi mwenzangu na mie?
  6. mayimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Elimu na pesa zikiwa kwa mwanamke, heshima haina nafasi

    🙏🙏🙏
  7. mayimba

    JamiiForums Tanzania Hakikisha kabla hujamuoa Ajue kuwa siku Akiku-cheat utamfukuza bila Mjadala

    Mwanaume jiamini, bandik reeefu! Ivi Ni lazima ujitangaze kuwa wewe ni mwanaume? Si unaonekana😂😂.
  8. mayimba

    JamiiForums Tanzania Judas Iscariot was a victim

    Iliandikwa kwamba katika siku za mwisho, kutakuwa na watu we ye KUFANYA MAOVU YA KILA AINA, swali la kujiuliza Ni je Ni lazima mimi niwe mwizi, mzinifu, muuaji ili nitimize hayo ma andiko? Think critically.
  9. mayimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Namaanisba b 👌👌 Noo! Niko kihumantarian zaidi nafikiria tu kuwa single mother sio kilema na Ni haohao wanaume wanaokataa kuoa single mother pande hii wakati pande ingine kazalisha mtu na kumtelekeza.
  10. mayimba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa Single Mama ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa na kuonjwa

    Ebu tuwe serious kidogo! Ina maana jamii yako WOTE Dada, shangazi, binamu hakuna single mother? Usingependa siku moja waolewe? Au single mothers Ni watoto wa majirani? Tuache ubinafsi.
Back
Top Bottom