Recent content by Mayele1

  1. M

    Nguvu za Kiume - nani anafahamu TIBA ya kweli?

    Asante. Nitafanya mabadiliko ya ratiba ya Mazoezi. Asante kwa ushauri
  2. M

    Nguvu za Kiume - nani anafahamu TIBA ya kweli?

    1. Nakula vizuri sana tena najitahidi kula Healthy 2. Nafanya sana mazoezi tena magumu ile mbaya. Actually shida hii imesababishwa sana na mazoezi haya. Nafanya mazoezi kwa masaa mawili daily kasoro Church day. Nimeanza kupata haya mabadiliko tokea nianze mazoezi. 3. Mawazo hayawezi kuisha...
  3. M

    Nguvu za Kiume - nani anafahamu TIBA ya kweli?

    Wadau, Tatizo hili ni kubwa tena sana na wajanja ni wengi wanalia watu hela zao. Mie ni mmoja wa waathirika wa hili tatizo na nimetumia mitishamba sana na sijawahi kupona hili Tatizo. Wengi au wote wanauza Boosters tu. Linaweza lisionekane kama Tatizo kubwa sababu maradhi yenyewe ni ya Siri...
  4. M

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Biashara tu hizi, hakuna mitishamba yoyote inayotibu hili Tatizo. Narudia tena, HAKUNA! Zote hizo ni Boosters tu
  5. M

    Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

    Hii 50k ni nje ya coupons za kila mwezi? Na hii bond nkitaka kopea mkopo Bank yawezekana?
  6. M

    Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

    Samahani..hii Liquid unakokotoa vipi riba yake kila siku?
  7. M

    Je, niwekeze kupitia JATU Company PLC?

    Umefanya uamuzi sahihi. Wanahaha kutafuta hela ya kuwalipa wakulima sasa hivi. Jmosi iloisha wamebanwa hadi ya Takukuru walipe hela za watu
  8. M

    JATU PLC wataharibu imani ya Watanzania kununua hisa kwa kampuni ndogo za Watanzania

    Mwenyekiti wa Body ya Jatu ni mume wa NMB Managing Director. Itakua kuna mikono ya watu wazito ndio mana mpaka leo hao kina Isare na Simbano hawajapelekwa Segerea
  9. M

    JATU PLC wataharibu imani ya Watanzania kununua hisa kwa kampuni ndogo za Watanzania

    Bond fund wanalipa Interest kiasi gani kwa annum? Na ni Compounded ama simple Interest
  10. M

    Msaada MESTEROLONE 25mg

    Ni kweli ina ponya tatizo la nguvu? Na je, haina side effects za muda mrefu kama figo, ini na mwishowe Cancer? How come sijaisikia ikitajwa sana hii kama zilivo Viagra na jamii zake?
  11. M

    Biashara ya kuziba pancha na kujaza upepo

    Asante kwa ushauri ingawa hizo mashine za kutoa tairi mafundi wanasema zinawapotezea muda washazoea manual. Nataka zaidi kufahamu ni biashara inayolipa fast ama ni long term investment
  12. M

    Biashara ya kuziba pancha na kujaza upepo

    Habari wadau Nina visenti kidogo nataka kuwekeza nikuze mtaji. Biashara ni nyingi ila nahitaji ambayo sio pasua kichwa sana. Kuna hii biashara ya pembezoni mwa barabara ya tairi za magari. Mwenye experience nayo naomba anijuze mchakato wake ukoje. Yaani mzunguko wake wa pesa ukoje kwa...
  13. M

    Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

    Kwahio nani kapona atoe ushuhuda? Dawa gani katumia ukiacha hizo za Hospital. Tupeane hio michongo kulinda heshima
Back
Top Bottom