Recent content by Max II Jr

  1. Max II Jr

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Je kuna mpango gan kuboresha huduma ya umeme Wilaya ya Ukerewe ambayo inapokea umeme kutoka bunda kupitia ziwa Victoria (Kisorya-Ngoma) ambapo kumekua na shida kwenye marine CABLE kila wakt hali inayopelekea wakazi wa ukerewe kukaa hta wiki nzima bila umeme
  2. Max II Jr

    Dawa ya vidonda vya Tumbo

    Kuna dawa ya vidonda vya Tumbo nimeisahau jina ...kidonge chake kipo kma codril ya mafua ila ya chenga. ...naomba msaada wa Jina la hyo dawa tafadhar
  3. Max II Jr

    Basic Salary kwa mtu mwenye Diploma ya Nursing

    Hata ungeongezwa mshahara uwe milion 7 kwa mwezi bado ungelalamika mshahara mdogo na ungelilia annual increament But lengo langu me ni kujua basic salary tu ya anaeanza kaz
  4. Max II Jr

    Basic Salary kwa mtu mwenye Diploma ya Nursing

    Kwhy we unaweza kuanza kaz bila kuulza mshahara. ...naona umetoka kuamka
  5. Max II Jr

    Basic Salary kwa mtu mwenye Diploma ya Nursing

    Nauliza basic salary ya Nurse mwenye diploma
  6. Max II Jr

    Basic Salary kwa Diploma Nurse?

    Nauliza basic salary ya Nurse mwenye diploma
  7. Max II Jr

    Waziri Simbachawene: Wakatoliki wekezeni Kwenye Kujenga Viwanda na Siyo ma-JET

    Kazi ya kanisa sio kujenga shule, kiwanda, barabara, hospital, reli bali ni kuwaimarisha watu katika Imani na nyonyo Safi. ....Tanzania ya viwanda ndy mnataka ijengwe na kanisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Max II Jr

    Kigwangalla apingwa vikali baada ya kuunga mkono kipimo cha mkojo!

    Ifike wakti tujenge hoja zenye tija tofauti na kua bendera wafuata upepo. ..Dr.Kigwangala alichosema kuna uwezekano wa athari za matumiz ya madawa ya kulevya kumfanya mtu kuzungumza vitu ambavyo vinaweza leta picha tofauti. ..mfano mtu akilewa anaweza toa lugha ya chafu kwa mtu yeyote au kufanya...
  9. Max II Jr

    Njia rahisi ya kwenda Goma, DRC Congo

    Hivi kma unataka kwenda Congo Goma ni njia ipi ni rahisii kutumia kwa usafir wa buss? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Max II Jr

    Hatma ya walimu wa sanaa Tanzania

    Hata sayansi sio wote ni ....pia kma ulivyosema kwa idara nyngne kma mifugo,madaktari nk Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Max II Jr

    Hatma ya walimu wa sanaa Tanzania

    Nini hatma ya wahitimu nchini (waalimu) na hii Inatoa picha gn kwa vijana wanaotarajia kujiunga na vyuo mbal mbali? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Max II Jr

    Uliza swali lolote kuhusu Mzumbe, wahenga tutakujibu

    Je ni kweli kwamba Mzumbe kuna wanafunz wengi kiasi kwamba wanasoma kwa shift ya miez 3? Na Mzumbe Inatoa course zipi? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom