Unadandia kwa mbele utagongwa vibaya. Ninyi ndo wale mtu huelewi Mara unarukia tu. Mm namwambia Kloriti kuhusu lile analodai kuwa eti kuna michango ya wataka urais wakati hayo ni mauzushi na uongo mkubwa nawewe unakuja kama pishi la ubwabwa kaliwe mbele kule!
Wewe ni muuza majabali au biashara gani mbona hueleweki kwa maongezi yako una onekana ni PUMBA tupu kichwani, kwa kikwetu wewe ni LAWALIMOO, hizo habari unazoeleza sisi ndio wafanyabiashara wakongwe hapa Arusha hiyo michango lazima tungesikia, Leta hoja yenye akili tujadili usitupotezee muda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.