Recent content by MaweSaba

  1. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Kuwa Mkweli Kunaponza!, Nilidhani Unawa Cost Malofa na Makapuku Tuu, Kumbe Hata Vigogo Wakubwa kama Huyu!. Kosa Lake Nini?, Au ni Kuwa Mkweli Sana?!

    Jaribu uongo uone matunda yake Righteousness haina guilt (hatia), inakuweka huru kabisa
  2. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Hii ndio list ya candidates wanaomfaa Rais kukaimu nafasi ya Vice President, Hawana Dramas, watakwenda nae bega kwa bega

    Nawaambiaga kila siku, Huyu jamaa hafai hata ubalozi wa nyumba kumi Sio kiongozi huyu, ni jipu
  3. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Dotto Magari
  4. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Logical contradictions zilizopo kwenye kitabu cha Mwanzo cha Biblia ambazo ni uthibitisho tosha kwamba, Biblia ni hadithi na hekaya za kutungwa tu!

    Kuuliza ni vizuri Biblia inahitaji usomaji wa kina Adam na hawa hawakua na mavazi maana nuru yao ilitpsha kua kama vazi, walipo asi, walijihisi uchi kwa sababu nuru au utukufu au mwanga haukuwako tena Waisrael walipokua jangwani, usiku mwanga au moto uliwaka kuashiria uwepo wa Mungu na...
  5. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Jambo zito kisiasa lakaribia litatikisa, ni ama ajiamulie mwenyewe au wenyewe waamue

    VIva Nchimbi, shikilia hapo hapo
  6. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Kwa anayofanya Mbowe ni wazi wachaga wabakie kwenye biashara ila sio kwenye nafasi za uongozi wa juu kama alivyosema Nyerere

    Hata wazanzibari tunawasema, wasukuma tunawasema Leo zamu ya wachaga
  7. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Heche kukosoa Congo kuwekeza Tanzania ina ufinyu wa uelewa

    Mwendo kasi mlishindwa kununua Uganda, zimekufa za wachina. Leo jirani ndio aje kufanya nini?
  8. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Kwel KWeli kabisa
  9. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    K KItu kikiwa kizuri kwa jamii, kinakimbiliwa Tusubiri matokeo
  10. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Dunia ya sasa inaangazia kurahisisha, kuounguza gharama, kupunguzq mzigo na automatically the population hufata Kwetu huku ni kutumikisha, kulazimisha wakati mazingira rafiki hayapo. Kaa kwa dakika kumi uangalie matangazo ya nchi mbali mbali hata ya kitaasisi za serikali, ni lugha za...
  11. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Una fikiria kimaskini, serikali yetu pekee ndio inawaza kudhibiti na ku control kila kitu... ni njia ya kufanya watu wako kua watumwa Watu wakiwa na mifumo rafiki hauhitaji kua na fikra za kikoloni au kiutumwa namna hii
  12. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Kusitisha matumizi ya kuni wamefikia wapi?
  13. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Maoni Habari za leo wadau, Sera mpya iliopitishwa na Bunge letu Mwaka wa Fedha 2026 - 2027, ITAFELI kwa sababu 1. Miamala ya Fedha Tanzania inagharimu watanzania 10% kwa miamala midogo na zaidi ya 3% kwa miamala mikubwa (100k +). Ili ifanikiwe, serikali ilipaswa kuondoa kabisa kodi kwenye...
  14. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Tbs ifumuliwe upya / ivunjwe kunusuru afya za watanzania

    Na sio vileo tu, vipodozi na bidhaa nyingi Tanzania tuna mamlaka za kukusanya mapato tu, ila si wezeshi au wanaojali afya za watanzania
Back
Top Bottom