Kuuliza ni vizuri
Biblia inahitaji usomaji wa kina
Adam na hawa hawakua na mavazi maana nuru yao ilitpsha kua kama vazi, walipo asi, walijihisi uchi kwa sababu nuru au utukufu au mwanga haukuwako tena
Waisrael walipokua jangwani, usiku mwanga au moto uliwaka kuashiria uwepo wa Mungu na...
Dunia ya sasa inaangazia kurahisisha, kuounguza gharama, kupunguzq mzigo na automatically the population hufata
Kwetu huku ni kutumikisha, kulazimisha wakati mazingira rafiki hayapo.
Kaa kwa dakika kumi uangalie matangazo ya nchi mbali mbali hata ya kitaasisi za serikali, ni lugha za...
Una fikiria kimaskini, serikali yetu pekee ndio inawaza kudhibiti na ku control kila kitu... ni njia ya kufanya watu wako kua watumwa
Watu wakiwa na mifumo rafiki hauhitaji kua na fikra za kikoloni au kiutumwa namna hii
Maoni
Habari za leo wadau,
Sera mpya iliopitishwa na Bunge letu Mwaka wa Fedha 2026 - 2027, ITAFELI kwa sababu
1. Miamala ya Fedha Tanzania inagharimu watanzania 10% kwa miamala midogo na zaidi ya 3% kwa miamala mikubwa (100k +).
Ili ifanikiwe, serikali ilipaswa kuondoa kabisa kodi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.