Ukiona maisha ya mzanzibari na mtu wa bara ni tofauti.
ZANZIBAR wana maisha mazuri, bara umaskini ni wa makusudi kabisa. Kuna wachache wako kwenye mfumo wanaenjoy, na jopo kubwa lipo kama watumwa kwenye nchi yao.
Lakini ni issue ya referendum tu. Maana weak point ya taifa hili la kimuungano ni changamoto za kimuungano zilizodumu miaka na miaka.
Ni muhimu kulimaliza mara moja na mazima. Tusikae kwenye matatizo tu.
Polisi wana kazi gani?
Mahakama wana kazi gani?
Jeshi lina kazi gani?
Na hiyo body unasema inalinda katiba? Iwe na wanataaluma gani au ujuzi gani ambao hapo juu hawapo?
Kwenye
Kwenye paperwork Tanzania hatujambo, utendaji
Kuna issues ngap katika taifa hili na vyimbo vipo ila havitendi kazi yake. Ndio maana nasema kwa asili ya uongozi wa Tanzania, kuongeza governing bodies kunaongeza bureucracy, wizi na mamlaka ambayo hayana msingi
Mfano mzuri tu, tuna haja...
Ni
Nalifahamu ilo vizuri kuhusu muundo wa Muungano na mihimili, na ndio nasema
Kwa miaka ya hivi karibuni na vuguvugu la kuvunja muungano, serikali tatu ni ticket ya kuvunja Muungano kwa maana watajitegemea zaidi. Haina haja ya kua na Muungano wenye mazingira kama ya sasa. Si muumgano huu...
Wote tunajua kwa serikali hii, hata watu wa Usalama wapo Bungeni kama wabunge, vyombp vya dola wanasifia chama. Kuhusu kufat katiba hilo hatuwezi waamini CCM.
Kuna vyombo vingi Tanzania visivyo na msingi, tunahitaji serikali inayofanya kazi na kuwajibika
Urasimu kwenye taifa hili, Rushwa na unyonyaji wa wananchi umekithiri
Issue za Muungano zikitatuliwa zinapaswa kumalizika na Taifa moja tu, ili utendaji wa serikali usigawanyike.
Watoe wakuu wa mikoa na wa Wilaya, waweke County ili Zanzibar iwe county ya Pwani. Kwa hivi maendeleo yataonekana
Serikali tatu mi uzi wa mwisho unaoshikilia muungano. Tunapaswa kua nchi moja, serikali moja.
Watu million moja si ni sawa na population ya Tanga tu? Kamkoa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.