Recent content by MaweSaba

  1. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Ukiona maisha ya mzanzibari na mtu wa bara ni tofauti. ZANZIBAR wana maisha mazuri, bara umaskini ni wa makusudi kabisa. Kuna wachache wako kwenye mfumo wanaenjoy, na jopo kubwa lipo kama watumwa kwenye nchi yao.
  2. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Lakini ni issue ya referendum tu. Maana weak point ya taifa hili la kimuungano ni changamoto za kimuungano zilizodumu miaka na miaka. Ni muhimu kulimaliza mara moja na mazima. Tusikae kwenye matatizo tu.
  3. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    County, mbona Ukerewe ni wilaya tu? Mafia ni wilaya (sima uhakika) kipi kinashindikana kwa Zanzjbar!?
  4. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Lugha za kiasiasa, ila uhalisia wa mambo hakuna kitu. Utalipa deni la taifa kwa kutumia ICT?
  5. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Polisi wana kazi gani? Mahakama wana kazi gani? Jeshi lina kazi gani? Na hiyo body unasema inalinda katiba? Iwe na wanataaluma gani au ujuzi gani ambao hapo juu hawapo?
  6. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Kubadili katiba tu imechukua 11 years na bado wanapngeza mpaka 2028, unadhani watakua na audacity ya kubaili mapungufu au vipengele?
  7. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Kwenye Kwenye paperwork Tanzania hatujambo, utendaji Kuna issues ngap katika taifa hili na vyimbo vipo ila havitendi kazi yake. Ndio maana nasema kwa asili ya uongozi wa Tanzania, kuongeza governing bodies kunaongeza bureucracy, wizi na mamlaka ambayo hayana msingi Mfano mzuri tu, tuna haja...
  8. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Ni Nalifahamu ilo vizuri kuhusu muundo wa Muungano na mihimili, na ndio nasema Kwa miaka ya hivi karibuni na vuguvugu la kuvunja muungano, serikali tatu ni ticket ya kuvunja Muungano kwa maana watajitegemea zaidi. Haina haja ya kua na Muungano wenye mazingira kama ya sasa. Si muumgano huu...
  9. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Wote tunajua kwa serikali hii, hata watu wa Usalama wapo Bungeni kama wabunge, vyombp vya dola wanasifia chama. Kuhusu kufat katiba hilo hatuwezi waamini CCM. Kuna vyombo vingi Tanzania visivyo na msingi, tunahitaji serikali inayofanya kazi na kuwajibika
  10. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Urasimu kwenye taifa hili, Rushwa na unyonyaji wa wananchi umekithiri Issue za Muungano zikitatuliwa zinapaswa kumalizika na Taifa moja tu, ili utendaji wa serikali usigawanyike. Watoe wakuu wa mikoa na wa Wilaya, waweke County ili Zanzibar iwe county ya Pwani. Kwa hivi maendeleo yataonekana
  11. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Kwa nchi yetu ilivyo, kitengo icho cha baraza kitafanya kitengo cha kiasiasa, hamna kazi hapo
  12. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Referendum ifanyike kuunganisha Zanzibar na Tz kua nchi moja, sio Muungano. One nation
  13. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Muundo Bora wa Muungano ni Upi: Serikali Moja, Mbili, Tatu au Shirikisho? Lete Hoja Yako, Tuichambue Pamoja, Kisha Piga Kura

    Serikali tatu mi uzi wa mwisho unaoshikilia muungano. Tunapaswa kua nchi moja, serikali moja. Watu million moja si ni sawa na population ya Tanga tu? Kamkoa?
  14. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Mwenge: Uchafu unarundikwa holela kwa muda mrefu pembezoni mwa makutano ya barabara; mamlaka zipo wapi?

    Kodi zetu zingekua zinaendana na utendaji kazi wa watu wa Jiji, hii nchi ingekua kama Singapore, ila sasa Malawi hii. Labda wang'atuke
  15. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Mwanamke unapotaka kuolewa huwa unajuliza unaenda na nini? Yaani unamwongezea nini huyo mwanaume ambacho ni spesho?

    Naelewa ila nimetumia reference ya baraka kutoka kwa Mungu, sijaongelea ambazo si za Kimungu, haziwezi itwa baraka, izo ni mafanikio tu
Back
Top Bottom