tatizo ni moja tu ukishakuwa hukubaliani misimamo ya jambo fulani lazima watetezi wa upande ule lazima uwaone weupe. Mathalan kwa wanasheria wengi nguli sasa hivi wanamuona Lissu ni mweupe kwenye sheria badala ya kujitetea kwa hoja za kisheria yeye anatafuta huruma na kufanya harakati mahakamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.