Serikali imetaka maridhiano na nani? wao kupitia TEC si ndio wameomba? As long as watumishi wanakula mishahara, posho na marupurupu ya safari za ndani na nje kupitia kodi za biashara basi nchi ipo imara. Nyie subirini mashoga wenzenu wa EU na ICC. Ila nao wapo busy na Iran na Putin anawatoa jasho
Watu wamechanganyikiwa kweli, Serikali haramu inatambulika hadi UN. Hivi ile fix ya ICC iliishia wapi? Yale maazimio ya EU yaliishia wapi? Lissu ananyongwa kwa uhaini mapema asbh na hakuna nchi itaingilia. Watu duniani wana misala yao huku nyinyi nyipeni umuhimu tu
kwa sasa chadema wote wamechanganyikiwa wanachokiona hawaamini. Mange baada ya kuwaulisha kwenye maandamano sasa anadai hela yake ya tone tone. Huku heche anakusanya pesa kwenye chama hazifiki.
Lissu yupo nyuma ya nondo mwaka umekatika haamini alijua kesi itakuwa ndogo. Kwa ushahidi ule muhaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.