Recent content by Mavipunda

  1. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    mimi binafsi, sipendi starehe. Napenda sana kumtukuza na kumsifu Mungu.
  2. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    Mimi nilisomea hiyo fani nikafanya kazi kidogo nikaona jau, nilipata zari flani nimeingia kwengine kunalipa zaidi ya kuwa daktari na nina heshimika
  3. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Ninafungua Barbershop: Je Vinyozi Walipwe Mishahara au Wakabidhi Hesabu?

    Nikiwa Zanzibar pale Catalunya ndio salooni yangu, ni kweli kuna dada ana mtako ndio anakusanya hesabu zote za huduma ulizofanya unalipa kwake anakupa na risiti. Wapo rada sana wale jamaa.
  4. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Wakoloni Waliwezaje kupeleka maendeleo bila kugawa Mikoa au Wilaya nyingi?

    Upo sahihi sana kila Mkuu wa Wilaya ana gari, nyumba, wasaidizi, wizi nk
  5. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Baadhi ya Watanzania na Wakenya waunganisha nguvu kuisaka familia ya Mafwele Afrika Kusini

    UPUUZI MTUPU.. tuna wanaharakati wapumbavu sana
  6. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Anayepajua Mkundi mwisho Morogoro atupe ramani naskia Kuna Machimbo ya Dhahabu.

    Atalizwa mtu hapa si muda mrefu
  7. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Anayepajua Mkundi mwisho Morogoro atupe ramani naskia Kuna Machimbo ya Dhahabu.

    Anajua humu sote ni mafala kama yeye.
  8. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Mwongozo Kamili: Chanzo, Kinga, na Tiba ya Harufu Mbaya Sehemu za Siri

    ila kuna mbunye zinatema aisee, unakuta demu ananuka kama upo ferry
  9. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    Pamoja maelezo yako yalijaa kutaka huruma ila bado nasisitiza kwamba madaktari wanapenda starehe na mambo yaliyo nje ya kipato chao. Naishi nao na nafanya nao kazi nawajua wengi.
  10. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Dangote anambembelezea Rais Samia ujenzi wa mtambo mkubwa wa umeme 2000MW wa makaa ya mawe baada ya kuhamishia ujenzi wa refinery Mombasa kwa hasira?

    Kwa taarifa tu ni kwamba Kenya hawana hayo makaa na wananunua Tanzania kwa ajili ya viwanda vyao.
  11. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Wahadhiri wachochezi kama hawa ni vyema wakadhibitiwa namna hii
  12. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    madaktari wana advantage ya kufanya kazi maeneo zaidi ya mawili kwa siku, sijui huo ugumu wa maisha unatoka wapi. tatizo wengi wanapenda starehe
  13. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Steve Nyerere: Ningemshauri waziri Katambi asimamishe leseni za uchungaji kuna kilio cha maadili vinatoka huko

    yupo sahihi huko uswahilini ndio mikelele kila kona afu mtu haijui hata biblia yenyewe
  14. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Mtu ana umaskini wa kutosha, familia inakula dagaa, mavazi ya mtumba lakini ànasomesha mtoto shule ya kulipia

    Mtoa wa mada anatawaliwa na roho mbaya..kwanini ufuatilie maisha ya wangine? Unajua mipango yao? usikute ndugu wanawasaidia ada
  15. Mavipunda

    JamiiForums Tanzania Mateso Makuu ya Kimyakimya Hayajifichi, Lakini Mtesaji ni Kama Hayamhusu

    Kauli za kipuuzi za kujifariji, Lissu mwenyewe alishasema jela sio kuzuri..
Back
Top Bottom