Usaliti kwenye ndoa huwaga haukubaliki adhabu yake ni kumtimua tu baada ya kufanya vipimo vya DNA. Kabla hujamrudisha kwao hakikisha umemvunja walau mguu ili ujenge heshima kama mwanaume.
Sasa hizo barabara ni za kazi gani wakati hata magari yenyewe Pemba hayapo. Zile trafic light kule Wete zinaongoza mikokoteni inayovutwa na punda na ngo'mbe. Halafu wapemba wote wapo Unguja na Kigamboni sasa barabara za nini.
kwenye watoto 11 sio huyo dada peke yake aliyekubali kuuza..Na wakfu ulishaandikwa sio suala la hiyari ya msikiti ni la lazima ubaki kama alivyoagiza marehemu.. Huyo Imam aliyeuza hata kamati ya msikiti wanamkana
Kina JB waliuwawa kikatili na huyu jamaa anajiita Sabasita ambae amejichongea jeneza lake..Polisi wanamwaga sana damu za watu wasio na hatia kwa kusingizia kurushiana risasi
Yule mtoto wa mjumbe aliyekatwa kiganja alisema haijui ila wenzake ndio walikuja nayo tuliwauatilia ila hawakurudi kwenye maeneo waliyopanga hadi sasa ila tunawauatilia ili wauwawe kimyakimya
Juzi kuna jirani yangu aliwaona jamaa wakati wanajitayarisha kupuliza akafunga leso jamaa wakati wanasogeza pazia na spoku akamala kiganja na sime kali. Yowe la mwizi lilituamsha mtaa mzima. Wenzakae watatu walitomkomea wakamuacha majeruhi na kuutelekeza mkasi wao wa kukatia vyuma. Kumbe dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.