Nikiwa Zanzibar pale Catalunya ndio salooni yangu, ni kweli kuna dada ana mtako ndio anakusanya hesabu zote za huduma ulizofanya unalipa kwake anakupa na risiti. Wapo rada sana wale jamaa.
Pamoja maelezo yako yalijaa kutaka huruma ila bado nasisitiza kwamba madaktari wanapenda starehe na mambo yaliyo nje ya kipato chao. Naishi nao na nafanya nao kazi nawajua wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.