Recent content by Mavipunda

  1. Mavipunda

    Kesho tarehe 07/04/2024 ni siku rasmi ya Uzinduzi wa shughuli za D. P. WORLD nchini Tanzania

    Jambo jema sana..Ila Kuna mijizi ndio inakwenda kufa njaa
  2. Mavipunda

    Waandishi wetu bhana! Kapewa tip Tanesco vibarua wanalipwa 15,000 kwa mwezi kaileta redioni kama ilivyo

    Kakurupuka sana.. elfu 15 kwa mwezi wasikwenda hata kufanya hicho kibarua
  3. Mavipunda

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Ugali ni chakula cha wanyama kama farasi..hivi unawezaje kula chakula kama kile
  4. Mavipunda

    KERO Pemba: Barabara zaidi ya 90% zimechakaa kwa kiwango kibaya sana

    Nilishuhudia kwa macho yangu mkokoteni wa ngo'mbe upo kwenye foleni ya trafic light. Jibu hoja barabara kule porini ni kwa ajili gani?
  5. Mavipunda

    Ushauri: Mke wangu anatembea na mfanyakazi mwenzie hadi kamzalisha

    Usaliti kwenye ndoa huwaga haukubaliki adhabu yake ni kumtimua tu baada ya kufanya vipimo vya DNA. Kabla hujamrudisha kwao hakikisha umemvunja walau mguu ili ujenge heshima kama mwanaume.
  6. Mavipunda

    KERO Pemba: Barabara zaidi ya 90% zimechakaa kwa kiwango kibaya sana

    Sasa hizo barabara ni za kazi gani wakati hata magari yenyewe Pemba hayapo. Zile trafic light kule Wete zinaongoza mikokoteni inayovutwa na punda na ngo'mbe. Halafu wapemba wote wapo Unguja na Kigamboni sasa barabara za nini.
  7. Mavipunda

    Waziri Silaa atinga Kariakoo, asema jengo lililouzwa lina Waqfu uliosajiliwa wizarani. Amshauri mnunuzi akamalizane na aliyempa hela

    kwenye watoto 11 sio huyo dada peke yake aliyekubali kuuza..Na wakfu ulishaandikwa sio suala la hiyari ya msikiti ni la lazima ubaki kama alivyoagiza marehemu.. Huyo Imam aliyeuza hata kamati ya msikiti wanamkana
  8. Mavipunda

    Waziri Silaa atinga Kariakoo, asema jengo lililouzwa lina Waqfu uliosajiliwa wizarani. Amshauri mnunuzi akamalizane na aliyempa hela

    Mporipori mkinga kaingizwa jau.. hii imekula hadi ajae kuipata hiyo hela watakula wajukuu wake sio leo yaani
  9. Mavipunda

    Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

    Hakuna polisi wala jaji wa Tanzania ataoona Ufalme wa Mbingu
  10. Mavipunda

    Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

    Kina JB waliuwawa kikatili na huyu jamaa anajiita Sabasita ambae amejichongea jeneza lake..Polisi wanamwaga sana damu za watu wasio na hatia kwa kusingizia kurushiana risasi
  11. Mavipunda

    Tetesi: Hiyo vita ya risasi Kilimanjaro Airport imesababishwa na nini?

    wabongo waoga kmmk yaani vimilio vya risasi tu mnajambiana..ila mkiwa majukwaani midomo mirefu
  12. Mavipunda

    Wezi hutumia mbinu gani kufanya watu wasishtuke wakati wanaiba na kuvunja nyumba?

    Yule mtoto wa mjumbe aliyekatwa kiganja alisema haijui ila wenzake ndio walikuja nayo tuliwauatilia ila hawakurudi kwenye maeneo waliyopanga hadi sasa ila tunawauatilia ili wauwawe kimyakimya
  13. Mavipunda

    Wezi hutumia mbinu gani kufanya watu wasishtuke wakati wanaiba na kuvunja nyumba?

    Juzi kuna jirani yangu aliwaona jamaa wakati wanajitayarisha kupuliza akafunga leso jamaa wakati wanasogeza pazia na spoku akamala kiganja na sime kali. Yowe la mwizi lilituamsha mtaa mzima. Wenzakae watatu walitomkomea wakamuacha majeruhi na kuutelekeza mkasi wao wa kukatia vyuma. Kumbe dogo...
Back
Top Bottom