Recent content by Mavimakavu

  1. Mavimakavu

    Hii hali inanipa upweke sana nimejitahidi kuikwepa lakini wapi

    Shida jamaa ana vigezo kama vya Oxford Scholarship! With his personality he needs to find a less strict funny girl. Ili akutoe kwenye ‘boring’ life that you’ve. But umesema pia hupendi kelele sa sijui itakuwaje. Muone Psychologist akusaidie.
  2. Mavimakavu

    Fanya ni dada yako, ungemsaidiaje?

    Ni binti mrembo anampenda MUNGU na mwenye akili ila amezaa na Mume wa mtu ambaye mwanzoni wakati penzi limepamba moto Mwanaume alimuambia Mdada aache kazi atamuhudumia na mtoto ila penzi life kwakuwa hakuwa tayari kuzaa nae. Muda umeenda Mdada kweli alikubali kuacha kazi. Mwanaume anamtimizia...
  3. Mavimakavu

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    Kama hajui pole yake, ila wengine na wao wanakuwa wanajijua kabisa hali zao.
  4. Mavimakavu

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    Huna habari? Siku nyingi sana, tangu 2020.
  5. Mavimakavu

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    10. Elisha Elia wa TBC. 11. Bikira wa Kisukuma. Aisee! Ngoma inalamba vichwa Bongo hatariiii.
  6. Mavimakavu

    TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

    6. Mez B 7. DJ Steve B 8. Sam wa Ukweli 9. Nisher Bybeee Kiukweli Bongo watu wengi wameungua na hawa wasanii wanareflect jamii zetu zilivyo! Watu maarufu wengi Bongo Dawa zinawasaidia. Na hivi wanavyopenda kubadilisha wapenzi kama sifa. Watapukutika kama kuku wakiendekeza mauzinzi.
  7. Mavimakavu

    Acer Dealer kwa Dar wanapatikana wapi?

    Naombeni msaada wadau kwa yeyote anaefahamu dealers wa acer computer wanapopatikana.
Back
Top Bottom