Recent content by Mavella

  1. Mavella

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Niko wilayani same mkoani kilimanjaro maene ya Gonja Mtii TANESCO leo siku ya 4 umeme unasumbua hatuelewi ni umeme mdogo au nn maana umeme unakatika kila baada ya sekunde 10 na unarudi huku baadhi ya bulb zinawaka na zingine haziwaki na wakati huo taa zinatetemela tu jana mmekata kutwa tukajua...
  2. Mavella

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hii nimetoa taarifa tu maana ni mtaani kwetu wametelekeza hizi nyaya hapa na nyumba yenyewe ilishavunjwa wamebakiza hako kaukuta tu na nimuda mrefu sasa.
  3. Mavella

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hii iko kata ya Mtii Kijiji Mtii Wilaya Same mkoani Kilimanjaro
  4. Mavella

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hii kitu ni karibu mwaka wa tatu huu hawa tanesco wilayani same hawachukui hatua yeyote
  5. Mavella

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Na hilo la kurudishwa tarifu 0 maana umeme tunanunua bei juu na hapa ni kijijini naomba ufumbuzi wa hili maana nilimsikia hata waziri akisema umeme usiuzwe zaidi ya sh. 100 kwa 1 unit
  6. Mavella

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Dah mbona haya makato yamezidi leo nimenunua umeme wa 10000 matokeo yake nimepata unit 22 tu na mwanzo ilikuwa 28 unit, Na Tanesco naomba ufafanuzi jinsi gani nitarudishwa kwenye Tarifu 0 maana hii imekuwa too much nahapa ni kijijini mnatuuzia umeme zaidi ya sh. 300 kwa unit
  7. Mavella

    Naomba ufafanuzi kuhusu tatizo hili la M-Pesa Mastercard

    Msaada wadau Mpesa mastercard inakataa kulink kwenye paypay. Je, tatizo laweza kuwa nini maana kabla nililink nyingine kirahisi tu.
  8. Mavella

    African Satellite World and Sat Gear

    L Lakin Ipi best iptv or Cs protocol
  9. Mavella

    African Satellite World and Sat Gear

    Sport 24, ptv spor, irib tv, ARQ, Sony Channel group,Afn, Discovery Channls,... All gone, What is best solution for now IPTV or cs Protocol
  10. Mavella

    Jinsi ya kuondoa Google Ads katika simu za Android.

    Hivi app gani bora zaidi kuondoa ad
  11. Mavella

    Halotel wana network ya 4g??

    Hii 4G ya voda ndio siielewi
  12. Mavella

    Msaada paypal

    Nenda mpesa *150*00# mpaka kwanye mastercard yako angalia taarifa fupi utaona hizo code *1234
Back
Top Bottom