HABARI zilizoshtadi mjini kwa sasa ni kadhia ya mama Diamond kumkana baba Diamond (mzee Abdul) kwa idhlali na taadhira kubwa, kuwa si baba mzazi wa Diamond. Naam hii ni HABARI. Na sisi (kwenye balagha) tunasema hivi:
الخبر هو الكلام الذي يحتمل الصدق والكذب لذاته، اي؛ الكلام المقال نفسه.
Yaani...
FUMBO (01)
PUA za Leila ziliipokea harufu ya manukato iliyopozwa na kiyoyozi, mara baada ya kufungua mlango na kuingia ofisini. Chini, sakafu ilifichwa na zulia la sufi. Juu, taa zenye rangi anuwai zililizunguka dari mithili ya nyota zipendezavyo anga. Nusu ya kila dirisha ilifunikwa kwa...
Umepewa ruhusa ya maandishi na bwana Hussein Tuwa? Naona umetumia jina lake na majina ya wahusika wa riwaya yake. Kama hujafanya hivyo, ndugu yangu unajiingiza kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria. Jitafakari.
Sent using Jamii Forums mobile app
KITANDA CHA KUWADI (03)
Wazo jingine lilimjia. Huenda kuna mtoko wa siri baina ya mmliki wa gari ile, ambaye hisia zake zilimwambia lazima ni Frank, pamoja na Teddy. Hivyo, alijongea hadi mbele kidogo, ambako kuna duka la vyakula. Akachagua kiti kilichokuwa kwenye meza yenye utulivu...
KITANDA CHA KUWADI (02)
Frank hakuruhusu kuipoteza nafasi hiyo ya kukumbatiwa. Akamsogezea Teddy mdomo wake. Milio mithili ya ile ya kasuku ilisikika baina yao. Taratibu, ulimi wa Frank uliaanza kutalii kinywani mwa Teddy. Joto nalo, halikufanya ajizi kuwachemka maungoni. Wakazoana...
KITANDA CHA KUWADI
LUCY aligonga mlango, na kabla hajajibiwa, akaingia moja kwa moja hadi ndani. Alipokwisha kuingia, ndipo macho yake yalipiga kwenye sofa. Akamwona Teddy akiendelea kusoma kitabu kilichokuwa mikononi mwake, akiwa amelijilaza kifuani pa Eddy, aliyekuwa akimchezea nywele zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.