Recent content by maufoungph

  1. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Wagonjwa wa kifua kikuu: Mateso ukatili wa jamii na safari ya maisha

    kifua kikuu kinahusiana vipi na kondom
  2. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Wagonjwa wa kifua kikuu: Mateso ukatili wa jamii na safari ya maisha

    Wagonjwa wa kifua kikuu (TB) hupitia mateso makubwa ambayo mara nyingi jamii haioni. Si kwamba wanapenda kuacha dawa au kuzembea matibabu yao bali mara nyingi huzuiliwa na hali halisi ya maisha. Daktari anapomwambia mgonjwa wa TB kwamba hatakiwi kufanya kazi kwa miezi sita au zaidi maana yake ni...
  3. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Napenda niwajue kwa undani wadudu wa baharini aina ya Sapalala

    Mantis shrimp (sapalala) ana macho bora kuliko kiumbe chochote duniani anaweza kuona rangi ambazo hawezi hawezi hata kusema! Maelezo mafupi: Binadamu tuna cones 3 kwenye macho yetu (kwa kuona rangi: red,green,blue). Mantis shrimp ana hadi cones 12 hadi 16 anauwezo wa kuona...
  4. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Dunia ipo upande mwingine wa pesa ya mtandaoni (Digital currency)

    Mimi nimejiunga tangu mwaka juzi na nachimba kila siku lakini niwe mkweli moyo wangu hauwamini kabisa kama itaachiwa February hii😋
  5. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa Luhaga Mpina

  6. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    Yan kila unapogusa ni sahii bila Shaka story sio ya uwongo na Mimi nimekaa Lindi na nimefanya kazi kwenye machinga transport. Upo sahii kila kitu[emoji2936] Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
  7. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

    Nasubiri mwendelezo boss
  8. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh kutoka ferry kivukoni

    Karibu sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh kutoka ferry kivukoni

    Jumatatu mpaka jumamosi tunakuwa wazi siku nzima lakini jumapili tunakuwa na nusi siku ivyo tunapokea oda muda wowote na tunakuletea mpaka kwako kwa gharama nafuu lakini pia wateja wa mikoani tunatuma pia. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh wanapatikana

    White Prawns wanapatikana. Bei Tsh 19,000 kwa kilo. Tupo Ferry/kivukoni Dar. Tunafanya delivery 0719438200.
  11. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh kutoka ferry kivukoni

    Ndio kila siku lakini kama utaitaji utatao order kabla,Tupo Ferry/kivukoni na tunafanya delivery Sent using Jamii Forums mobile app
  12. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh kutoka ferry kivukoni

    Ndio boss inawezekana Jumatatu tunakuwa wazi kuanzia saa12 asubuhi. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh kutoka ferry kivukoni

    Ndio,tuna huduma ambayo pweza atakuwa ameshakaangwa tayari kwa kula tu ili kutopoteza muda. Package hii inapatikana kwa Tsh 12,000 tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. maufoungph

    JamiiForums Tanzania Samaki Fresh kutoka ferry kivukoni

    Tsh 4,000 tu. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom