Sawa mkuu kwa kunitukana lakini ukumbuke mambo mengine tunajaribu na mwisho wa siku unafanikiwa. Usipende kutuma comment za kutukana hazijengi. Hata ningeiweka hii strategy ambayo nilianza nayo wengine kama wewe ungenitukana. Maana wengine hawapendi kuwa walimu ingawa wana GPA kuanzia 3.8 n.k
Asante mkuu Ricardo kaka. Naelekea Moshi kuanza kazi, nawashukuru wadau, hili jukwaa linasaidia sana. Kikubwa ni kuaamini. Vijana wote ambao mna GPA 3.8 pelekeni vyeti vyenu kwenye mavyuo mtapata kazi kama mimi nilivyovyafanya. Nilituma kila chuo barua na vyeti. Usisubiri watangaze
Weighbridge Operator (8 Posts) Apply before: 30 Mar 2014
Company:
Tanzania National Roads Agency (TANROADS)
Location > Tanga
Position Type > Full Time
Organization Type > Parastatal...
Human Resources Manager
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Level: National C2
Gross salary: Tshs 3,848,978.4 and other benefits
Contract Type: Open ended
Job reference Number: INT319
Who we are
Oxfam is an International NGO working with others to find lasting solutions to...
Ndg wana JF,
OMBI LANGU KWA CCM BORA WAKUBALI TU SERIKALI TATU(3) then wafanye yafuatayo
(1) WAZIRI MKUU TANGANYIKA na WAZIRI MKUU ZANZIBAR(WOTE WAREPORT KWA RAIS WA TANZANIA)
(2) RAIS TANZANIA(MUUNGANO)
(3) MAMBO MENGINE YATABAKI KAMA YALIVYO NA CCM ITASONGA MBELE
WANA CCM MSIHOFU CCM HAIWEZI...
EMPLOYMENT OPPORTUNITY Computer Management Specialist Closing Date of The Position: March 6, 2014 ALL ORDINARILY RESIDENT (OR) APPLICANTS MUST HAVE THE REQUIRED WORK AND/OR RESIDENCY PERMITS TO BE ELIGIBLE FOR CONSIDERATION.
The US Embassy is seeking an individual for the...
Wanaoulizia mishahara naamini ni wale walioko makazi so wanataka kulinganisha kabla hajatuma. Mtazamo wangu ni huo lakini sisi tuliomaliza mwaka huu unauliza mshahara hata kazi hujapata, pata kazi ukijadiliana mshahara ukiona haukutoshi piga chini.
We mpe referee akujazie then aiweke kwenye bahasha ya A7 then iweke ndani ya A4 then tuma. Lakini usiifungua lakini nao UDOM walitakuwa hii kitu mtu akipata kazi ndo huwa inajazwa
Kutoka kwenye kipindi cha clouds fm live - PB na Gerald Hando. MWENYEKITI WA WAFANYA BIASHARA AWACHANA MAAFISA WA TRA. Anasema anaushahidi mtoto wa afisa wa TRA miaka 2 anamiliki ghorofa. Je Kama ni kweli hao maafisa wanapata hela zao kihalali, na amesema anaushahidi mfanyabiashara mmoja hulipa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.