Majaliwa ni jembe. Kuna katuni moja nakumbuka ya Kipanya anasema tunataka rais ambaye atakuwa na haiba katikati ya Magufuli na Kikwete.
Nadhani rais huyo ni Majaliwa. Jamaa ni nusu uMagufuli nusu uJk.
Hapana, Samia amewazidi akili anaicheza game ya upinzani na ya Magufuli kwa wakati mmoja. Makundi yote yapo dilemma ila lenye kushinda litakuwa la Magufuli sababu wote awa na Samia ni ccm na kuna maeneo watapishana ila ikifikia lengo la kubaki madarakani lao ni moja na tofauti uwa zinawekwa kando.
Walipofikia hawaelewi hata wanapambana na nani Magufuli bado hajawatoka akilini na mama Samia inabidi waende nae sababu anarekebisha makosa ya Magufuli kwao ndio imekuwa burudani yao.
Wameweka nguvu kubwa kwa Magufuli mpka wamesahau nini wanachotaka. Na uzuri mama Samia ameshausoma mchezo amefanikiwa kulishawishi kundi la Magufuli na wapinzani pia amewaweza tayari, siasa za Samia na upinzani zitakuwa nyepesi sana akiendelea hivi hivi kuwa controversial.
Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo naye, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za...
Hakuna wa kumkwamisha SASHA atakwamishwa na uwezo wake mdogo kuongoza nchi. Kuongoza nchi sio rahisi kama kuunga unga elimu.
Magufuli alikuwa very strong haikuwa easy kuyumbishwa na fala yoyote alikuwa na misimamo na uthubutu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.