Kama shida ya sukari kutoa nje ni kuisha muda Mkuu angewawajibisha TBS ambao Kazi yao ni kuangalia ubora wa badhaa zinazoingia nchini na siyo kuzuia sukari, na kama lengo ni kulinda viwanda vya ndani kulikuwa kuna haja ya kufanya utafuti juu ya kiasi cha sukari kilichopo nchini kisha atoe...
Kila baada ya uchaguzi mkuu hutokea vitu vinavyofanana na hii ya sukari, kwanini? Hawa jamaa wanaouza sasa hivi kwa bei hii kubwa huenda ndiyo walengwa wa hiyo faida wanayopata sasa hivi kama malipo fulani baada ya kukopesha kiaina before? Nawaza tu.
Swali lako lina maana nzuri, naamini una lengo la kutaka kujua huko wenzetu wanaishije. Ipo tofauti kubwa sana sheria na utekelezaji wa sheria za nchi kwetu na huko kwa wenzetu. Kwa tatizo la sukari na mengine yaliyopo hapa kwetu mtatuzi Mkuu ni Mkuu wa nchi. Bwana mkubwa kwa sasa anaamua yeye...
Hata mimi ninashangaa kuona mheshimia anaangalia hospitali moja tu, kwani kama angekuwa amechagua kuanza na afya basi angekomaa na katibu mkuu wa wizara ya afya kusimamia hospitali na zahanati zote nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.