Recent content by Matulanya Mputa

  1. Matulanya Mputa

    Watanzania hatuelewi tunachotaka,ni roho mbaya tu

    Keshi andamaneni tuwavunje miguu tumejipanga kisawasawa,
  2. Matulanya Mputa

    Usiku wa kuamkia D9: Yajayo yanafurahisha - Karibu Tuzogoe!

    Kwanza nashukuru siku ya kesho watu wetu wa mkoa wa Mtwara kukataa kushiriki haya maandamano ,sababu haya maandamano siyo maandamano halili ni maandamano haramu so kesho ni siku ya kuliombea taifa amani siyo siku ya umwagaji damu wala maandamano
  3. Matulanya Mputa

    Kijana maskini unataka nyota yako ing'ae kisiasa na wakubwa wakuchague. Hivi ndivyo utakavyofanya

    Uzalendo kusifia viongozi kwa uovu? Badilika ukiona watajwa sana jitafakari, hacha uchawa wa kishamba kijana.
  4. Matulanya Mputa

    TANZIA Mbeya: Mwenyekiti wa UVCCM Makongorosi, Michael Kalinga akutwa ameuawa na mwili wake kutelekezwa

    Hii nchi kuna kitu kinafukuta alafu ukweli unafichwa ila hacha inyeshe tuone panapovuja
  5. Matulanya Mputa

    Napendekeza Jeshi la Polisi kusukwa upya kuondoa tuhuma za mauaji zinazolikabili mara kwa mara

    Ubaya, maovu, utekaji na mauaji ambayo yanatokea jeshi la polisi linatajwa kuhusika. Tumeshuhudia baadhi ya nchi kuna makundi ya kiharifu ambayo yametoka ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama. Na makundi hayo yalianza kufanya matukio kama utani leo yamegeuka kuwa makundi ya uharifu na...
  6. Matulanya Mputa

    Niliwahi kusema ACT Wazalendo hampo salama, msijione kama mmeshika dola

    H Bongo movie hadi damu kutoka wakati bongo movie damu inatoka kidogo
  7. Matulanya Mputa

    Niliwahi kusema ACT Wazalendo hampo salama, msijione kama mmeshika dola

    Pole Abdul Nondo nakumbuka niliwahi kuleta uzi kuwa ACT-WAZALENDO hampo salama, nilizungumza kipindi chadema wameratibu maandamano. Kipindi cha maandamano nilitegemea ACT-WAZALENDO watasema mishap ziara za kichama kuonesha kuwaunga chadema mkono kupinga mauaji na utekaji badala yake wao...
  8. Matulanya Mputa

    PreGE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

    Kama kicha kinavyojieleza, kuwa hakuna upinzani ambao upo salama sasa sindano ianze kuwaingia
  9. Matulanya Mputa

    Watanzania 70% hawatumii mitandao ya kijamii hasa vijijini. Wapinzani, wanaharakati katoeni elimu kuhusu katiba na mfumo wa vyama

    Kuna kasumba moja ya wanasiasa hasa upinzani na wanaharakati wamekua wanaikosoa serikali, au mifumo mibaya ya uongozi, ubovu wa katiba ya sasa kupitia mitandao ya kijamii na makongamano ya wao kwa wao badala ya kuwashirikisha wananchi. Mf; Unakuta linaendeshwa kongamano la katiba au demokrasia...
  10. Matulanya Mputa

    Tanzania isipotumia Makaa ya Mawe na Madini mengine Sasa hivi yakiwa na Demand,Yanaweza Kudoda kama Almasi Ilivyowaliza Namibia na Botswana

    Watanzania wajinga sana lakini siyo wote umetoa ushauri mzuri sana kulingana na kukua kwa technologia
  11. Matulanya Mputa

    LGE2024 Nilipoambiwa ACT Wazalendo ni chama mamluki nimeamini na ile kauli ya Nchimbi kuwa kuna vyama wameshiriki kuanzisha

    Tutaleta program ambazo wamefeli ACT-WAZALENDO wamefeli badala yake wamekuwa watu wa kujinufaisha viongozi wa makao makuu tu. Mtaelewa kwanini tunasema ACT-WAZALENDO ni chama mamluki.
  12. Matulanya Mputa

    LGE2024 Nilipoambiwa ACT Wazalendo ni chama mamluki nimeamini na ile kauli ya Nchimbi kuwa kuna vyama wameshiriki kuanzisha

    Kuongea ni muhimu na sisi ndyo tupo katika ivi vyama mambo yanavyoendea kwenye vyama vya upinzani siyo viongozi wa vyama waliopo makao makuu na viongozi wa mikoa na majimbo ni watu wawili tofauti
Back
Top Bottom