jaman ndg zangu naomba nipewe ukwel juu ya hii hbr...
Mmiliki wa VIP Enginering, aliyekuwa anamiliki
hisa IPTL James Rugemalira.
Mmiliki wa VIP Enginering, aliyekuwa anamiliki
hisa IPTL James Rugemalira amefungua kesi
mahakama kuu akiidai serikali jumla ya Sh.
398 bilioni zilizokuwemo/...
mm kdogo cjaelewa hzo TGOS wanazpangaje? i.e kwa mfano mtu anayeaanza kaz akiwa na either cert, dip or bach anawekwa kwenye TGOS gan ikiwa labda ni mwl au afisa kilimo..
??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.