Kila mtu atazungumza kuvutia anakokuamini lakini tuseme ile kweli walimu wanaohusika ama ni kukosa umakini au uelewa mdogo ama kupuuzia ,,
wanafanya makosa sana na kuharibu majina ya watoto, madogo wanafika sekon
dari mpaka wanalia wakiomba wabadilishiwe majina kitu ambacho hakiwezekani.
Sisi...
Stori za vijiweni hizo jamaa kaanza kitambo toka kwenye coaster,,isuzu,yutong,,zhengtong na sasa Polo G7,,kila mtu akiwa na hela basi uwekezaji basi lazima muwazushie wanasiasa,,
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
Tunakaa hapa tunaanza kuomba mtu atumbumiwe hata akitumbuliwa hakuna tija yeyote ambayo tutaipata ,,tuache kupenda kubembelezana,,
Watu wanaiba kisha wanatishia kurudisha kadi za chama,,yaani mimi kama nakuwa katibu wa chama wanachama wanaoliibia Taifa kwa mgongo wa chama,,,nafuta kadi zao na...
Hakuna mkamilifu,,kila mtu ana madhaifu yake so Chalamila hawezi kuwa kama alivo Kunenge ama Makala mvumilieni tu
Mimi pia nina hulka hizo nadhani ningekuwa na madaraka, viongozi wazembe na wala rushwa hasa idara ya elimu ningewanyoosha na kila siku kwenye sala zao wangeomba Mungu aniondoe
Hii...
Ukitaka uishe kwa stress basi kasome utegemee utapata madaraka,,ni bora hiyo hela uifanyie uwekezaji mwingine,,
madaraka huku chini ni rushwa na kujikombakomba,,uwe na uwezo wa kukubali kila kitu unachoelekezwa na mkubwa wako,,
Cha msingi ni kutambua kuwa hatuwezi wote tukapata madaraka hivo...
Inategemea na idara ila kama ni idara ya elimu hakuna kitu,,wengi huku chini wanapata madaraka wakiwa na uwezo mdogo ,,mfumo upo very corrupt mpaka chupi zinawapa watu madaraka,,,
Kama mtu unajitambua lazima tu utaingia mgogoro na watawala kisa tu wanapenda kutumia nguvu nyingi kuliko maarifa...
Hapa ndipo ninapojiridhisha pasi na shaka kwamba kuna mambo yanahitaji mkono wa chuma ili yaende sawa.
Nakumbuka enzi za Magufuli Moil waliuomba radhi umma wa Watanzania na kulipa faini ya tsh. millioni kumi kwa kusababisha usumbufu kuhusu ishu ya mafuta
Hata ikiwa imeisha tunashukuru waamini wengi hasa wa vijijini wametambua ni nani adui yao hivo kazi ya kuendelea kuwaelimisha imerahisishwa na waraka,,
Sijui mtaendelea kuwahadaa au la
Halafu mwisho wa siku unasherehekea siku ya kuzaliwa kwa kutumia kalenda iliyoasisiwa na mjinga Glegorian ambaye ni mkatoliki,,,,hahahahaaaa wakatoliki wakiwa wajinga basi Dunia nzima tu wajinga
2025 hatutaruhusu wanafunzi wasio na sifa kupiga kura,,endeleeni kushupaza shingo,,,hii mibunge ya ccm mingi lazima tuimwage,,hapo ndipo tutakapokuwa na bunge la kuisimamia serikali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.