Recent content by Matle

  1. M

    Mh.Mbowe popote ulipo nasema Asante

    Wewe kwanza mwenye nembo hii ya MANAZI hapa Ujerumani hautufai, hata Tz hautufai- Emetoka Hamburg- nenda kajiunge na wenzako amabao wako jela kama Zschäpe n.k
  2. M

    Upinzani 51% CCM 49% kwa tathmini ya kata 26 tu!

    Hata kwa mama yako.
  3. M

    Upinzani 51% CCM 49% kwa tathmini ya kata 26 tu!

    Ndiyo maana yake. Dalili ya mvua ni mawingu- Hii inaonyesha jinsi gani ccm imeshindwa kuleta maendelao, demokrasia ya kweli na kwa hali hii by 2015 tutapeta. God bless Tanzania, from Ughaibuni:)
  4. M

    Chadema wapanga kuvuruga uchaguzi, red brigade kutumika!

    Huyu jamaa lazima ni mfisadi wa ccm au ni mtoto wa mafisadi. Unawatetea wala nchi? hao ndiyo inayoifanya Tanzania kuwa moja za nchi maskini duniani. Chadema wanataka kulinda haki zao ni si vinginevyo- Kama ccm ina kundi lake la kujilinda, kwanini cdm isiwe na kundi lake?
  5. M

    Chadema wapanga kuvuruga uchaguzi, red brigade kutumika!

    Huna nia njema na Chadema- Wewe aidha ni moja wa mafisadi wa ccm au ni mtoto wao. Peleka uongo wako chooni.
Back
Top Bottom