Recent content by Matinyi

  1. Matinyi

    Je, unaamini katika kuwekeza? Nina wazo la biashara kuanzia 10/20m ( kuuza unlimited internet buku tu kwa siku mteja atatumia hata gb 500 yeye tu

    😁😁😁😁 hii mbn rahis sana kweny maikrotik kuna kitu kinaitwa TTL uki configure vzr unazuia watu wasitengeneze hotspot pia ukiwa na billing system kama centiped na zinginez unazuia watu wasitengeneze hotspot kirahis tu au namna nyingine limit mbps bas kaz kwisha utae mhotspot haha hata kutuma sms...
  2. Matinyi

    Wazo la biashara ya internet uswahilini

    WIFI BUSINESS VIA VOUCHER CODE {MICROTIK AND OAMADA SYSTEM NA ZINGINEZO} hapa tutatumia microtik na omada system at the same time na maana kwamba kuna features kwenye omada hazipo ambazo ni very dangerous sana so ndo maana microtik inatumika lkn pia omada ni simple kwenye kutumia kuliko...
  3. Matinyi

    Wazo la biashara ya internet uswahilini

    WIFI BUSINESS VIA VOUCHER CODE {MICROTIK AND OAMADA SYSTEM NA ZINGINEZO} SMALL SCALE BUSINESS hapa tutatumia microtik na omada system at the same time na maana kwamba kuna features kwenye omada hazipo ambazo ni very dangerous sana so ndo maana microtik inatumika lkn pia omada ni...
  4. Matinyi

    Pata unlimited bundle kwa bei nafuu

    so huko mbn watu wengi huo mfumo tunafanya ni simple tu
  5. Matinyi

    Pata unlimited bundle kwa bei nafuu

    amna hapo ni kwa airtel tu ndo wanahuo upuuz ila vodacom mm naanza na mbps na 30 namaliza na 30 haijawai kupungua
  6. Matinyi

    Hii ni miwani aina gani na inatibu tatizo gani la macho?

    hiyo ni miwan ya macho hua inatolewa kwa ajili ya watu wenye shida ya presbyopia yan wenye shida ya kusoma na hyperope ambao hawaon karid kwamsaada zaid piga 0776371092
  7. Matinyi

    Miwani yangu ya macho na tabu zake

    huwe kua kipofu kinachokusumbua wewe ni kitu kinaitwa myopia yan rays of light znashidwa kufika kwenye retina ili zipelekwe na kwakua kinachoona ni ubongo then taarifa haifiki vzr kweny ubongo{visual cortex} ndo maana unapata hiyo shida ndo maana ukapewa concave ili kukusanya miale ya jua...
  8. Matinyi

    Naomba kujua sehemu ya kupata miwani ya macho kwa bei nafuu

    kama kuna mtu anahitaj miwan mcheki jamaa 0776371092 anatengeneza miwan yote kuna kong site na short site pia ya kusomea kwa wazee na pia wale wa bifocal plastic anatengeneza kwa 60,000 pia kioo 50,000 na miwan ya kusomea 7000 na cases kwa ajili ya miwan 6000 pia kuna miwan inaitwa bifocal...
  9. Matinyi

    Nahitaji miwani ya macho

    Wewe Acha uongo kbs Ww ukihitj miwan nichek Tu bei ndogo Tu chamuhimu uwe na vipimo namba 0776371092
  10. Matinyi

    Naomba ushauri kuhusu hili tatizo la macho

    Wamekudanganya miwan haiwez msaidia ukisema pressure ya macho ama glaucoma huwa unapewa dawa za kuishusha ,eye drops pia ukisema mtoto WA jicho maana cataract hapo hua wanafanya operation ndo unapewa miwani ya jua ambayo unaitumia kama miez mitatu hiv sasa hao waliokwambia unahitjk miwan mmmmh...
Back
Top Bottom