Recent content by Mathias Byabato

  1. Mathias Byabato

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    TCRA wametangaza kusitisha huduma za jukwaa hili Kwa siku 90
  2. Mathias Byabato

    Vyombo vya habari Tanzania kutoandika habari za madai ya Polepole,kisha kuandika kanusho

    Wengi sana. Kwa kukusaidia tu. Chanzo namba moja cha habari na taarifa kwa watu ni redio. mimi naongelea uhalisia wa jumla. siyo watu wenye ushawishi nk. naweza kukuwekea tafiti kabisa...
  3. Mathias Byabato

    Vyombo vya habari Tanzania kutoandika habari za madai ya Polepole,kisha kuandika kanusho

    Wanabodi. Mimi ni mmoja katika tasnia hii. kuna malalamiko mengi juu ya kwa nini vyombo vya habari Tanzania haviandiki tuhuma bali vinaandika kanusho za tuhuma. mfano kama hii ya PolePole Kwa wasiolewa taaluma hii naomba nisaidie jambo. Kwanza kama Taifa tunakiri kuna shida mahali katika uhuru...
  4. Mathias Byabato

    YouTube Channel inauzwa,Ina matangazo ya Google

    Wakuu. Kuna YouTube inauzwa. Ina matangazo na Sasa Ina dollar 98 ndani. Imefanyiwa SEO tayari. Ina 10K subscribers . Bei. Maelewano. Update. Ishauzwa. Asante
  5. Mathias Byabato

    GE2025 Wabunge wa sasa waliokatwa kugombea CCM hawa hapa

    Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha. 1.Mrisho Gambo-Arusha Mjini 2.Stephen Byabato-Bukoba Mjini 3.Luhanga Mpina-Kisesa 4.Ndaisaba Ruhoro-Ngara 5.Josephat Gwajima-Kawe (Hakuchukua fomu) 6.Yusuph Makamba-Bumbuli 7.Nicodemus Maganga-Mbogwe 8.Chritopher Ole Sendeka-Simanjiro 9.Pauline...
  6. Mathias Byabato

    GE2025 Wabunge wa sasa waliokatwa kugombea CCM hawa hapa

    Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha. 1. Mrisho Gambo - Arusha Mjini 2. Stephen Byabato - Bukoba Mjini 3. Luhanga Mpina - Kisesa 4. Ndaisaba Ruhoro - Ngara 5. Josephat Gwajima - Kawe (Hakuchukua fomu) 6. January Makamba - Bumbuli 7. Nicodemus Maganga - Mbogwe 8. Christopher Ole...
  7. Mathias Byabato

    Wananchi Mkoani Kagera wanavyonufaika na uwepo wa wadudu aina senene

    Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa kagera wamekiri kupata fursa kubwa ya kipato kutokana na kufanya biashara ya wadudu aina ya senene. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Kcr fm wakazi hao akiwemo Mektrida Leonard wamesema katika msimu wa senene wamekua wakipata...
  8. Mathias Byabato

    PreGE2025 Chadema kutoshiriki Uchaguzi, hasara kwa CCM, Tume na jamii hizi hapa

    Na:Mathias Byabato Binafsi uwa siandiki sana kuhusu mambo ya siasa. Leo nimeona nisaidie muktadha kadri ya uelewa wangu. Kwa watu wanaojua mantiki na umuhimu demokrasia katika taifa lolote wanajua hasara kadhaa zitazojitokeza iwapo itasalia hivi hivi Kwa chadema kutoshiriki uchaguzi wowote 2025...
  9. Mathias Byabato

    Utitiri wa Festival za Makabila Nchini: Tumeanza Harakati za Kujitenga Kimakabila?

    Mara kadhaa hapa chini yamekuwa yakifanyika matamasha au shughuliza kijamii zinazolenga makabila fulani kama WASUKUMA FESTIVAL. https://shinyanga.go.tz/new/rc-mndeme-ashiriki-tamasha-la-sanjo-ya-busiya-shinyanga WAHAYA FESTIVAL:https://www.youtube.com/watch?v=qR_H1N7bWjo WACHAGA...
  10. Mathias Byabato

    Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Uchambuzi mzuri sana. Lakini TAZAMA Tena hizi dk 15 za Lisu unaweza kubadili andiko lako. https://youtu.be/lnS5IIbvA2E
  11. Mathias Byabato

    BASATA tafadhai katazame huu wimbo haufai

    Vijana jitahidi sana kufaya ubunifu ambao pamoja na kuburudisha jamani kaelimishe walau jambo lolote. katika group letu la ukoo imetupiwa hii clip nimesikitika sana. sioni ubunifu wowote na lengo la video hii au labda umri wangu. https://www.youtube.com/watch?v=SREbSNFduzs
Back
Top Bottom