Wengi sana. Kwa kukusaidia tu. Chanzo namba moja cha habari na taarifa kwa watu ni redio.
mimi naongelea uhalisia wa jumla. siyo watu wenye ushawishi nk.
naweza kukuwekea tafiti kabisa...
Wanabodi.
Mimi ni mmoja katika tasnia hii. kuna malalamiko mengi juu ya kwa nini vyombo vya habari Tanzania haviandiki tuhuma bali vinaandika kanusho za tuhuma. mfano kama hii ya PolePole
Kwa wasiolewa taaluma hii naomba nisaidie jambo.
Kwanza kama Taifa tunakiri kuna shida mahali katika uhuru...
Wakuu.
Kuna YouTube inauzwa. Ina matangazo na Sasa Ina dollar 98 ndani.
Imefanyiwa SEO tayari.
Ina 10K subscribers .
Bei. Maelewano.
Update.
Ishauzwa.
Asante
Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha.
1.Mrisho Gambo-Arusha Mjini
2.Stephen Byabato-Bukoba Mjini
3.Luhanga Mpina-Kisesa
4.Ndaisaba Ruhoro-Ngara
5.Josephat Gwajima-Kawe (Hakuchukua fomu)
6.Yusuph Makamba-Bumbuli
7.Nicodemus Maganga-Mbogwe
8.Chritopher Ole Sendeka-Simanjiro
9.Pauline...
Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha.
1. Mrisho Gambo - Arusha Mjini
2. Stephen Byabato - Bukoba Mjini
3. Luhanga Mpina - Kisesa
4. Ndaisaba Ruhoro - Ngara
5. Josephat Gwajima - Kawe (Hakuchukua fomu)
6. January Makamba - Bumbuli
7. Nicodemus Maganga - Mbogwe
8. Christopher Ole...
Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa kagera wamekiri kupata fursa kubwa ya kipato kutokana na kufanya biashara ya wadudu aina ya senene.
Wakizungumza katika mahojiano maalum na Kcr fm wakazi hao akiwemo Mektrida Leonard wamesema katika msimu wa senene wamekua wakipata...
Na:Mathias Byabato
Binafsi uwa siandiki sana kuhusu mambo ya siasa. Leo nimeona nisaidie muktadha kadri ya uelewa wangu. Kwa watu wanaojua mantiki na umuhimu demokrasia katika taifa lolote wanajua hasara kadhaa zitazojitokeza iwapo itasalia hivi hivi Kwa chadema kutoshiriki uchaguzi wowote 2025...
Mara kadhaa hapa chini yamekuwa yakifanyika matamasha au shughuliza kijamii zinazolenga makabila fulani kama
WASUKUMA FESTIVAL.
https://shinyanga.go.tz/new/rc-mndeme-ashiriki-tamasha-la-sanjo-ya-busiya-shinyanga
WAHAYA FESTIVAL:https://www.youtube.com/watch?v=qR_H1N7bWjo
WACHAGA...
Vijana jitahidi sana kufaya ubunifu ambao pamoja na kuburudisha jamani kaelimishe walau jambo lolote.
katika group letu la ukoo imetupiwa hii clip nimesikitika sana.
sioni ubunifu wowote na lengo la video hii
au labda umri wangu.
https://www.youtube.com/watch?v=SREbSNFduzs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.