Nafikiri vyombo vya habari havikuona kama hii ni habari kubwa lakini MH Rais alisema hivyo hapo jana.
https://youtube.com/shorts/1lExsXFLRNw?si=1mhryIqx5I5-WziC
Wakuu.
Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera.
Chanzo cha kifo ni ugonjwa wa Figo
Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf...
Mjadala utaanza kesho saa 12 asubuhi katika club house ya Mindset transformation. Kuwa tayari kuuliza maswali hasa nje ya mambo ya siasa.
Watu maarufu ambao wamekuwa wakitoa elimu ya mabadiliko ya tabia na mienendo ya kimaisha ni pamoja na Dr Dialo,Mch Msigwa na wengineo.
Habari za kazi.
Kuna tafsri nyingi juu ya motivation speakers duniani juu ya yale wasemayo na namna ya kuyatekeleza katika maisha halisi. lakini katika club house hii hakika kwa wiki mbili sasa nashiriki hakika kuna kitu cha tofauti. nimeona nami nishiriki kuwajulisha kwa wanaopenda kushiriki...
Habari za leo wadau.
Kikao cha kueleza fursa za bomba la mafuta kinafanyika hivi sasa katika ukumbi wa halmashauri Missenyi mkoani Kagera chini ya Waziri wa Nishati na Madini .
Kumbuka bomba hili kwa Tanzania linaanzia hapa .
Kikitumika kigezo cha wimbo wa Taifa kuamua nani ni raia na ambaye siyo nafikiri itakuwa shida kubwa kwa nchi. Labda kama watu hawajui maeneo mengi ya mashambani hata majina ya viongozi wa kitaifa hawawajui kabisa sembuse wimbo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.