Recent content by Mathias Byabato

  1. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Natafuta MTU wa kuniandikia proposal ya biashara ya milioni Tano chap.

    hii ndio orodha ya mambo 20 inayohitaji kujua ili kuandika proposal nzuri ya biashara ya milioni 5: Kuhusu Biashara 1. Jina la biashara (kama lipo) 2. Aina ya biashara (kilimo, duka, huduma, uzalishaji, n.k.) 3. Bidhaa au huduma utakazouza 4. Mahali biashara itakapokuwa (mkoa/jiji/eneo) 5. Kwa...
  2. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Natafuta MTU wa kuniandikia proposal ya biashara ya milioni Tano chap.

    Install Claude AI . Weka details zako zote. Ni suala la dk 1 tu
  3. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    TCRA wametangaza kusitisha huduma za jukwaa hili Kwa siku 90
  4. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari Tanzania kutoandika habari za madai ya Polepole,kisha kuandika kanusho

    Wengi sana. Kwa kukusaidia tu. Chanzo namba moja cha habari na taarifa kwa watu ni redio. mimi naongelea uhalisia wa jumla. siyo watu wenye ushawishi nk. naweza kukuwekea tafiti kabisa...
  5. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari Tanzania kutoandika habari za madai ya Polepole,kisha kuandika kanusho

    Wanabodi. Mimi ni mmoja katika tasnia hii. kuna malalamiko mengi juu ya kwa nini vyombo vya habari Tanzania haviandiki tuhuma bali vinaandika kanusho za tuhuma. mfano kama hii ya PolePole Kwa wasiolewa taaluma hii naomba nisaidie jambo. Kwanza kama Taifa tunakiri kuna shida mahali katika uhuru...
  6. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania YouTube Channel inauzwa,Ina matangazo ya Google

    Wakuu. Kuna YouTube inauzwa. Ina matangazo na Sasa Ina dollar 98 ndani. Imefanyiwa SEO tayari. Ina 10K subscribers . Bei. Maelewano. Update. Ishauzwa. Asante
  7. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wabunge wa sasa waliokatwa kugombea CCM hawa hapa

    hakika. imerekebishwa
  8. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wabunge wa sasa waliokatwa kugombea CCM hawa hapa

    Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha. 1.Mrisho Gambo-Arusha Mjini 2.Stephen Byabato-Bukoba Mjini 3.Luhanga Mpina-Kisesa 4.Ndaisaba Ruhoro-Ngara 5.Josephat Gwajima-Kawe (Hakuchukua fomu) 6.Yusuph Makamba-Bumbuli 7.Nicodemus Maganga-Mbogwe 8.Chritopher Ole Sendeka-Simanjiro 9.Pauline...
  9. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wabunge wa sasa waliokatwa kugombea CCM hawa hapa

    Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha. 1. Mrisho Gambo - Arusha Mjini 2. Stephen Byabato - Bukoba Mjini 3. Luhanga Mpina - Kisesa 4. Ndaisaba Ruhoro - Ngara 5. Josephat Gwajima - Kawe (Hakuchukua fomu) 6. January Makamba - Bumbuli 7. Nicodemus Maganga - Mbogwe 8. Christopher Ole...
  10. Mathias Byabato

    JamiiForums Tanzania Wananchi Mkoani Kagera wanavyonufaika na uwepo wa wadudu aina senene

    Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa kagera wamekiri kupata fursa kubwa ya kipato kutokana na kufanya biashara ya wadudu aina ya senene. Wakizungumza katika mahojiano maalum na Kcr fm wakazi hao akiwemo Mektrida Leonard wamesema katika msimu wa senene wamekua wakipata...
Back
Top Bottom