hii ndio orodha ya mambo 20 inayohitaji kujua ili kuandika proposal nzuri ya biashara ya milioni 5:
Kuhusu Biashara
1. Jina la biashara (kama lipo)
2. Aina ya biashara (kilimo, duka, huduma, uzalishaji, n.k.)
3. Bidhaa au huduma utakazouza
4. Mahali biashara itakapokuwa (mkoa/jiji/eneo)
5. Kwa...
Wengi sana. Kwa kukusaidia tu. Chanzo namba moja cha habari na taarifa kwa watu ni redio.
mimi naongelea uhalisia wa jumla. siyo watu wenye ushawishi nk.
naweza kukuwekea tafiti kabisa...
Wanabodi.
Mimi ni mmoja katika tasnia hii. kuna malalamiko mengi juu ya kwa nini vyombo vya habari Tanzania haviandiki tuhuma bali vinaandika kanusho za tuhuma. mfano kama hii ya PolePole
Kwa wasiolewa taaluma hii naomba nisaidie jambo.
Kwanza kama Taifa tunakiri kuna shida mahali katika uhuru...
Wakuu.
Kuna YouTube inauzwa. Ina matangazo na Sasa Ina dollar 98 ndani.
Imefanyiwa SEO tayari.
Ina 10K subscribers .
Bei. Maelewano.
Update.
Ishauzwa.
Asante
Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha.
1.Mrisho Gambo-Arusha Mjini
2.Stephen Byabato-Bukoba Mjini
3.Luhanga Mpina-Kisesa
4.Ndaisaba Ruhoro-Ngara
5.Josephat Gwajima-Kawe (Hakuchukua fomu)
6.Yusuph Makamba-Bumbuli
7.Nicodemus Maganga-Mbogwe
8.Chritopher Ole Sendeka-Simanjiro
9.Pauline...
Hawa ni wabunge wa sasa ambao CCM imewapumzisha.
1. Mrisho Gambo - Arusha Mjini
2. Stephen Byabato - Bukoba Mjini
3. Luhanga Mpina - Kisesa
4. Ndaisaba Ruhoro - Ngara
5. Josephat Gwajima - Kawe (Hakuchukua fomu)
6. January Makamba - Bumbuli
7. Nicodemus Maganga - Mbogwe
8. Christopher Ole...
Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa kagera wamekiri kupata fursa kubwa ya kipato kutokana na kufanya biashara ya wadudu aina ya senene.
Wakizungumza katika mahojiano maalum na Kcr fm wakazi hao akiwemo Mektrida Leonard wamesema katika msimu wa senene wamekua wakipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.