Recent content by Mathias Byabato

  1. Mathias Byabato

    Ngorongoro wanajengewa nyumba, Hanang pia wasaidiwe ujenzi wa nyumba

    Nafikiri vyombo vya habari havikuona kama hii ni habari kubwa lakini MH Rais alisema hivyo hapo jana. https://youtube.com/shorts/1lExsXFLRNw?si=1mhryIqx5I5-WziC
  2. Mathias Byabato

    TANZIA Mwanachama wa JF, Ta Muganyizi amefariki dunia

    Wakuu. Mwanachama mwenzetu wa JF aitwaye Ta Muganyizi amefariki dunia na amezikwa katika kata ya Kashasha, tarafa ya Kiziba, wilaya ya Missenyi mkoani Kagera. Chanzo cha kifo ni ugonjwa wa Figo Hapa chini ni mojawapo ya michango yake hapa Jf...
  3. Mathias Byabato

    Tundu Lissu atakuwa Live club house akiongelea tabia, maendeleo binafsi

    Mwongozaji ni mzee Alphonce Chilato na wengineo
  4. Mathias Byabato

    Tundu Lissu atakuwa Live club house akiongelea tabia, maendeleo binafsi

    Mjadala utaanza kesho saa 12 asubuhi katika club house ya Mindset transformation. Kuwa tayari kuuliza maswali hasa nje ya mambo ya siasa. Watu maarufu ambao wamekuwa wakitoa elimu ya mabadiliko ya tabia na mienendo ya kimaisha ni pamoja na Dr Dialo,Mch Msigwa na wengineo.
  5. Mathias Byabato

    Mijadala katika club house ya Mindset Transformation inaweza kuboresha maisha yako

    Sababu kuu ni mbili. moja ili watanzania wawahi kazini na watanzania wanaoishi nje ya nchi ambao muda huo wengi inakuwa ni usku wa kawaida
  6. Mathias Byabato

    Mijadala katika club house ya Mindset Transformation inaweza kuboresha maisha yako

    Habari za kazi. Kuna tafsri nyingi juu ya motivation speakers duniani juu ya yale wasemayo na namna ya kuyatekeleza katika maisha halisi. lakini katika club house hii hakika kwa wiki mbili sasa nashiriki hakika kuna kitu cha tofauti. nimeona nami nishiriki kuwajulisha kwa wanaopenda kushiriki...
  7. Mathias Byabato

    Fursa Bomba la Mafuta kwa watanzania-UPDATES

    Mh Mwijage anasema kuku zitakazotumika ni bora zitoke hapa hapa.
  8. Mathias Byabato

    Fursa Bomba la Mafuta kwa watanzania-UPDATES

    Wapo wabunge wa Kamati ya Nishati na madini akiwemo Nusrat Hanje kutoka Chadema pamoja wabunge wote wa mkoa wa Kagera.
  9. Mathias Byabato

    Fursa Bomba la Mafuta kwa watanzania-UPDATES

    Habari za leo wadau. Kikao cha kueleza fursa za bomba la mafuta kinafanyika hivi sasa katika ukumbi wa halmashauri Missenyi mkoani Kagera chini ya Waziri wa Nishati na Madini . Kumbuka bomba hili kwa Tanzania linaanzia hapa .
  10. Mathias Byabato

    Frolent Kyombo: Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili mkoani Kagera wanaambiwa siyo raia wa Tanzania

    Kikitumika kigezo cha wimbo wa Taifa kuamua nani ni raia na ambaye siyo nafikiri itakuwa shida kubwa kwa nchi. Labda kama watu hawajui maeneo mengi ya mashambani hata majina ya viongozi wa kitaifa hawawajui kabisa sembuse wimbo
  11. Mathias Byabato

    Frolent Kyombo: Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili mkoani Kagera wanaambiwa siyo raia wa Tanzania

    Tatizo hamjui hata nchi yenu ikoje. Kwamba kila mtanzania anajua vema wimbo wa Taifa? na kiswahili fasaha?. Nafikiri hata masai wengi siyo raia?
  12. Mathias Byabato

    Frolent Kyombo: Wasiojua vema mashairi ya wimbo wa Taifa na Kiswahili mkoani Kagera wanaambiwa siyo raia wa Tanzania

    Kafanye utafiti kuanzia kwa jamaa zako hata katika familia kama wanaweza kuimba vema wimbo wa Taifa au kuongea kwa ufasaha lugha ya kiswahili
Back
Top Bottom