ukisema hivyo mbona mwl nyerere hakufanya hayo mkoani mara?kwahiyo nyerere hakuwa mchapakazi?Kiongozi mzuri ni yule asiyekuwa na upendeleo acheni kuudanganya umma.Usimamizi wa shule za kata uliufanya wewe?na kile chuo kikuu cha dodoma pia ulikisimamia wew?hebu kuwa thinker na usifanye ushabiki...
dhamana ni haki ya kila mtu kwa mujibu wa katiba ya nchi sasa wamemkamata ili iweje?wao hata wafanye hila gani mwaka huu hawalambi chochote.Tumechoka kuongozwa na maraisi wasiokuwa na upeo wa kufikiri wakishachaguliwa wanapanda ndege kwenda nje kuomba misaada.Hakuna mahali palipoidhinisha CCM...
hawana jipya wao hata watukane mwaka huu vijana tutapiga kura kwa wingi ili tuwaondoshe hawa masikini wa kufikiri,ndo maana tangu rais kikwete aingie madaraka akaanza safari za kwenda nje ya nchi kuomba misaada badala ya kuleta mbinu ya namna gani ya kutumia rasilimali za nchi kuinua uchumi wa...
kwanza hawana jipya ndo maana wameanza kutoa matusi badala ya kuzindua kampeni !Rais mstaafu huwezi ukatoa kauli za matusi hata kidogo ,huyo babu amekosea sana.
acheni kutapatapa ,huo ufisadi mnaousema nani ana vithibitisho?mbona mnazungumza mambo utadhani sio wasomi?kama kweli ni fisadi mbona hajawahi hata kuhojiwa kama akina chenge na tibaijuka?
mwambie aanze na kinana katibu mkuu wake maana anakamatwa kila siku na makontena ya meno ya tembo ambayo ni ya kwake then hakuna hatua zinazochukuliwa!tumekuchoka na wew Magufuli coz unatukumbushia kauli zako za kupiga mbizi ,kuliingizia taifa hasara mabilioni ya pesa kwenye uuzaji wa nyumba za...
hauna akili wewe! watu wenye mawazo mafupi kama yako ndo wanaoisababisha tanzania yetu haisongi mbele badala yake viongozi was chama tawala wamebaki kupiga majungu na kujilimbikizia Mali za umma.
these people they are not serious maana wakati ule wa sakata la escrow walikwepa wakisema Fedha zile hazikuwa za umma ;lakin wanachokifanya saivi naona ni Kinyume cha Yale walokuwa wanayakataa.naona wanaigiza maana hiyo tume yenyewe tayari wameshaanza kujigawa hivyo bas acha wahangaike hapo...
Hao ni wazembe tu mbona wakat tunasoma tulikaa nyumbani mwaka mzima then tuliporudishwa chuo tumefika kama Leo kesho take tukafanya UE na tukafaulu vizuri?halo wachukuliwe hatua za kinidham ili kukomesha tabia hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.