habari,naomba kwa ambae amewahi agiza bidhaa za online anipe mwongozo mfano bidhaa ikifika posta au ofisi za DHL kuna gharama gani za kulipa kama kodi??mfano umeagiza simu,nguo n.k
Kaka asante naomba unisaidie kitu fulani nataka niagize simu ila sijui kuna gharama nyingine nje ya cost za kununua mfano laptop nje ya nchi endapo wanakuambia free shipping ikifika nchini utalipia nini na wapi??????
Kaka asante naomba unisaidie kitu fulani nataka niagize simu ila sijui kuna gharama nyingine nje ya cost za kununua mfano laptop nje ya nchi endapo wanakuambia free shipping ikifika nchini utalipia nini na wapi??????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.