shetani waapi bwana wewe unaonekana hako katabia unako sasa vuna mbegu ulizopanda kwa mkono wako mwenyewe nenda kaombe msamaha na hata ucpo samehewa ni haki kabisa coz hicho ndicho ulichokitaka.
jamani huyo mdada mbona anarisk maisha yake hivyo? vitu kama hivyo unatakiwa uende nae mguu kwa mguu mkacheki then huyo mwanaume inaonekana katembea na watu ambao ni bad newz ndo maana anashindwa kuwa na uhakika hata wa afya yake KWELI KIPIMO CHA UKIMWI NI KIDOGO LAKINI HUWA KIKUBWA HASA PALE...
Aisee hawa watu hawaeleweki ukimfanyia wema shida ukimfanyia mabaya shida dawa ni kuishi nao kijeshijeshi tu maana ukicheka nao na kuwatendea wema lazima wakutende in return so the only way ni kuwa harsh tu ili hata akikufanyia ubaya ickuume saana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.