Hawa hapa the most; Dr Slaa, Maalim Seif Sharif, mch. Mtikila, John Mnyika, Godbless Lema, Freeman Mbowe, wengine ni makamanda wote wa CHADEMA,...
NI CHADEMA kwa kuwa mpishi mkuu wa makamanda wote hao ndio msimamizi na ana msimamo wa kile anachokiamini...namaanisha Katibu mkuu wao Dr. Wilbroad...
Mwigulu kawatusi mbowe na ismail jussa...nusura jussa mchape makonde... Kawatusi eti mbowe na jussa wengine wanaounga mkono kura ya siri wanaajenda ya siri ya kuingiza ushoga Tz...na matusi kadhaa wa kadhaa..
Kama na kwa imani iliyopo kwamba Mungu ni muweza...naiiombea CCM laana na kifo cha laana.....katika harakati na unafki inayoigiza....! CCM ni shetani na laana....!
Jamani aliyeko huko chalinze atujuze kampeni za CHADEMA maana CCM kama kawaida wamenunua vyombo vya habari tunaona news zao za Ridhiwani lakini CDM hadi sasa wiki inaelekea kutimia hakuna tunacho sikia! Mtujuze mlioko huko Chalinze....
nashauri zzk aondoke...kama tatizo lake kutaka uenyekiti na ameona anaubavu ni bora aondoke CDM aende kokote anakodhani fursa yake ya uenyekiti itatimia? anang'ang'ania nini kwani nafasi hiyo ipo chadema tu....!
Da... HAYO NDIO MAZUNGUMZO NA HOJA YA ZITTO ANAYETAKA APEWE UENYEKITI ATI KWA KUWA NI MWANACHAMA WA SIKU NYINGI CDM? JE, NI WANACHAMA WANGAPI WALIKUWA WA SIKU NYINGI PENGINE HATA KULIKO YEYE?, JE, NA WAO WAKISEMA TUTAFANYA MAAMUZI YOYOTE HATA KAMA HAYANA AFYA KWA CDM KAMA HAYO YA KIMAPINDUZI...
Kwa kweli huhitaji kuwa na PhD kujua kilichonyuma ya mpango mzima wa Mapinduzi ndani ya CDM, kuna nguvu kubwa inatumika kuharibu kushamiri kwa vyama vya upinzani hapa Tanzania, na taasisi nyeti zinahusika. Hivi ule waraka wa siri kuhusu Mhe.zitto mbona taasisi zote zilizotajwa hawaendi...
mzungumzaji wa ccm asema waziri hana sababu ya kujiuzulu.....
Kama kwaidda maccm hamna kitu vichwani....
Laiti ungemsikiliza huyo dr...diwani wa ccm.....
udini wa ccm waiva... zanzibar waendeleo kutekeleza ilani ya ccm kwa sera ya udini iliyoassisiwa tangu wakati wa cuf-mwaka 1995 na hatimaye kwa chadema iliyobatizwa kama chama cha wakristo mwaka 2010.... ama kweli ccm imeishiwa siasa za kistaarabu..... Dr. Slaa, "...hizi ndiyo hatua ya mwisho ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.