Recent content by MATANGO MAKUBWA

  1. M

    Mbowe kuwaingiza rasmi CUF na NCCR Serikali Kivuli Bungeni

    Pendekezo zuri! Nami nipendekeze ktk baraza hilo kwa uchache niwataje akina 1. James Mbatia-ELIMU 2. Ismail Jusa-MASWALA YA MUUNGANO 3. Habib Mnyaa 4. Nafasi zilizobaki zipewe CHADEMA.
  2. M

    Ni mwanasiasa gani mwenye kauli thabiti na asiyeyumba Tanzania?

    Hawa hapa the most; Dr Slaa, Maalim Seif Sharif, mch. Mtikila, John Mnyika, Godbless Lema, Freeman Mbowe, wengine ni makamanda wote wa CHADEMA,... NI CHADEMA kwa kuwa mpishi mkuu wa makamanda wote hao ndio msimamizi na ana msimamo wa kile anachokiamini...namaanisha Katibu mkuu wao Dr. Wilbroad...
  3. M

    Ushoga na Udini: Mwigulu achafua upepo Bungeni!

    Mwigulu kawatusi mbowe na ismail jussa...nusura jussa mchape makonde... Kawatusi eti mbowe na jussa wengine wanaounga mkono kura ya siri wanaajenda ya siri ya kuingiza ushoga Tz...na matusi kadhaa wa kadhaa..
  4. M

    ccm na matamasha ya kinafiki kuhusu muungano

    Kama na kwa imani iliyopo kwamba Mungu ni muweza...naiiombea CCM laana na kifo cha laana.....katika harakati na unafki inayoigiza....! CCM ni shetani na laana....!
  5. M

    Kampeni za chadema chalinze

    Jamani aliyeko huko chalinze atujuze kampeni za CHADEMA maana CCM kama kawaida wamenunua vyombo vya habari tunaona news zao za Ridhiwani lakini CDM hadi sasa wiki inaelekea kutimia hakuna tunacho sikia! Mtujuze mlioko huko Chalinze....
  6. M

    Mnyika: Zuio la mahakama halizuii kumjadili Zitto isipokuwa uanachama wake tu

    nashauri zzk aondoke...kama tatizo lake kutaka uenyekiti na ameona anaubavu ni bora aondoke CDM aende kokote anakodhani fursa yake ya uenyekiti itatimia? anang'ang'ania nini kwani nafasi hiyo ipo chadema tu....!
  7. M

    Zitto: Nilichukua kadi ya CHADEMA mwaka 1993, Wakati wengine wakiwa bado CCM

    Da... HAYO NDIO MAZUNGUMZO NA HOJA YA ZITTO ANAYETAKA APEWE UENYEKITI ATI KWA KUWA NI MWANACHAMA WA SIKU NYINGI CDM? JE, NI WANACHAMA WANGAPI WALIKUWA WA SIKU NYINGI PENGINE HATA KULIKO YEYE?, JE, NA WAO WAKISEMA TUTAFANYA MAAMUZI YOYOTE HATA KAMA HAYANA AFYA KWA CDM KAMA HAYO YA KIMAPINDUZI...
  8. M

    Kwa Kuzingatia KATIBA ya Chama Na -MAADILI ya Uanachama Na Uongozi Wa Chama-Zitto Na

    Kwa kweli huhitaji kuwa na PhD kujua kilichonyuma ya mpango mzima wa Mapinduzi ndani ya CDM, kuna nguvu kubwa inatumika kuharibu kushamiri kwa vyama vya upinzani hapa Tanzania, na taasisi nyeti zinahusika. Hivi ule waraka wa siri kuhusu Mhe.zitto mbona taasisi zote zilizotajwa hawaendi...
  9. M

    John Mnyika, Tundu Lissu wagomea wabunge wa CCM kujiongezea mishahara, posho

    Ccm noma...hawana kabisa utu na uzalendo ..hakuna hata harufu ya uzalendo
  10. M

    Mdahalo wa kujadili Rasimu ya Katiba: Live on ITV

    Ama kweli ccm hali yao co nzuri hadi mwenyekiti kawatabiria hali akijua kiongozi anayefuata ana wakati mgumu....mdahalo ndio haramu kwao...
  11. M

    Mdahalo wa kujadili Rasimu ya Katiba: Live on ITV

    ok jitahidi sie wengine tupo nje ya tz so tunawafolllow in jf
  12. M

    Baada ya Polisi kuzuia maandamano, Nassari kufanya Press Conference kwenye ofisi za CHADEMA Arusha

    hapo ndipo mwisho wa ccm na police wake wanavyooneshaudhaifu uliotukuka...... mwisho mbaya kwa ccm.
  13. M

    Kipima Joto: Kuokoa anguko la Elimu nchini, nini kifanyike?

    mzungumzaji wa ccm asema waziri hana sababu ya kujiuzulu..... Kama kwaidda maccm hamna kitu vichwani.... Laiti ungemsikiliza huyo dr...diwani wa ccm.....
  14. M

    Hali ya Siasa Nchini

    udini wa ccm waiva... zanzibar waendeleo kutekeleza ilani ya ccm kwa sera ya udini iliyoassisiwa tangu wakati wa cuf-mwaka 1995 na hatimaye kwa chadema iliyobatizwa kama chama cha wakristo mwaka 2010.... ama kweli ccm imeishiwa siasa za kistaarabu..... Dr. Slaa, "...hizi ndiyo hatua ya mwisho ya...
Back
Top Bottom