Bikira Maria ninani kwenye maandiko?? Ana umuhimu gani kwetu as christians hakutufia msalabani,hatusaidii kutuondolea dhambi,mwisho Maria she is no longer a virgin maana alizaa watoto na yusuph Sasa sijui mwanamke anaekutana kimwili na mumewe then akazaa watoto mnapata wapi ujasiri wa kumuita bikira
Yaani huwa nawashangaa sana hawa jamaa kuua kwao ni jambo dogo sana ndy maana wanasema binadamu hukatwa kichwa Kwa kuanzia chuma ya shingo sababu haliwi jamaa wakatili sana aisee
Ex[emoji1522] Hellow, mambo..!!?
Girl[emoji3177]: poa tu nani..?
Ex[emoji1522]: aah!! ulifuta hadi namba yangu au sababu umeolewa...?
Girl[emoji3177]: hayo hayakuhusu sema we nani...?
Ex[emoji1522]: mi Mcharo
Girl[emoji3177]: OMG!! mzima wewe?
za siku?
Ex[emoji1522]: nzuri tu nimekumiss...