Recent content by Masyani

  1. M

    Biashara ya yeboyebo

    Nami nimeelewa ufafanuzi mzuri.
  2. M

    Biashara ya yeboyebo

    Boss nimeoziona mali. Lakn mbona unafurahi? Nipe location za bei ya chini maana hiyo ndo ya kuuzia na vipi kama unataka kuchua jumla ?
  3. M

    Je hii ni heshima au uoga?

    Kwa mtazamo wangu ni heshima. Nilienda mkoa fulani hapa Tanzania, wamama hata watu wazima wanapiga magoti kusalimiana ko sioni kama ana uoga ni heshima.
  4. M

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Kwa uelewea wangu inawezekana na ni mtaji mzuri sana. Ila kabla ya kuanza kaangalie kwanza eneo unalotaka kufanyia kazi mahitaji, na wauzaji wengine wanafanyaje ili usijekuharikiwa mbeleni
  5. M

    Biashara ya yeboyebo

    Nina wazo la kuanza kufanya biashara ya yeboyebo ninaomba msaada wenu wadau kwa anaejua machimbo na namna gani nifanye hii biashara nifanikiwe. Pia niwe na mtaji kiasi gani ili kufanikiwa katika hii biashara.
Back
Top Bottom