Wanaomdhihaki Mhe Rais ni nyie Watanzania wenzetu. Bado mna fikra za kikoloni kuwa kutojua English ni tatizo. Na yote haya mnaumia sababu ya utendaji bora wa Rais. Nani kasema Magufuli hajui English?. Suala la accent sio tatizo, kila mtu ana matatizo ya accent anapoongea lugha ya mwenzake. Hata...
PM ajiuzulu kwanini?. Mkuu wa nchi ndio alitoa maelekezo kwa PM na sio kama PM alikuja na msimamo wake. Kaka tofautisha hapo. Yeye alipewa kazi atekeleze, sasa kama bosi amekuja na maamuzi mengine, unajiuzulu vipi?. Jukumu la PM hapo ni kuridhia maamuzi ya mkubwa wake na sio kujiuzulu...
Unajua majirani zetu mna tambo nyingi sana zisizo na msingi mnasahau kuwa bado sisi sote E.A tuna safari ndefu. Tunahitaji zaidi kushikamana kuliko kushindana au kuchambana. Nchi zetu zote bado zina kazi kubwa hasa kwenye Sekta ya Afya. Kila nchi ina matatizo yake. Cha msingi ni kushirikiana...
Serikali imeshasema kuwa kuanzia mwakani kahawa yote itauzwa kwa njia ya mnada. Nia ya Serikali ni kumsaidia mkulima kwa kuipandisha thamani kahawa yetu yaani badala ya wakulima wa Tanzania kuuza kahawa kwa bei ya kulaliwa na madalali wa Uganda, tunataka wanunuzi wa kimataifa wanaonunua kahawa...
1. Kimsingi Mkutano wa WM ktk ngazi ya Wilaya unawahusu Wakuu wa Idara, Wakuu wa Vitengo na Wakuu wa Taasisi. Pale Mazingira yanaporuhusu ikowemo Venue wanaweza kuingia watumishi wengine wakiwemo walimu.
2. Kikao cha WM na watumishi ni cha kutoa taarifa ya maendeleo na kupokea maelekezo ya...
Pope John Paul alipokuja Africa mara ya kwanza alikuja na Tanzania akalala siku tatu. Mandela alipotoka kifungoni nchi ya kwanza kuitembelea ni Tanzania na alilala siku 4 na alienda kulala mkoani Morogoro. Rais wa China nchi ya kwanza kutembekea ni Africa ni Tanzania. Ukiondoa America na Ulaya...
Ukishashinda uchaguzi unaendeleaje kuwa Rais w wanachama wako?. Lazima utakuwa Rais wa wananchi wote. Huwezi kuangalia maslahi ya wanachama bali utaangalia maslahi ya kitaifa. Kwani hilo nalo geni kwako?.
Mtazungukaa na maelezo kibao mara anatekeleza sera za opposition mara anawaumbua CCM kila kitu mtaongea lakini mwisho wa siku tunarudi palepale kuwa kumbe mabadiliko sio lazima serkali iende upinzani, bali MABADILIKO NDANI YA CCM YENYEWE IMEWEZEKANA.
More changes are coming.
HAPA KAZI TU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.