Recent content by Masulupwete

  1. Masulupwete

    Diwani wa Kawe aliyetoweka tangu Februari akutwa Tabata kwa Mwanamke

    🤣🤣chezeya mambo ya kufinyiwa ndani weye,,,mhaya kaleweshwa na toto la kizaramo hadi kasahau kwake
  2. Masulupwete

    Kigamboni: Hivi Kwanini Mwendokasi Wanazikataa N-CARD?

    hapo lazma jamaa wa mapantoni na hao wenzao wa mwendokasi kila mmoja anatetea kesho yake kwanza japo ilibidi waelewane tu asilimia za mgao maana wote ni serekali
  3. Masulupwete

    Watu gani watatu mashuhuri unaweza ukatundika picha zao ukutani kwako?

    ww km mm tu ila mm nkishaweka ntazishusha zote na kuzipiga kibo match mchana kweupe
  4. Masulupwete

    Huyu ndiye mwalimu bora wa Physics duniani

    Hao ni kina nani na wanafanya nini saivi?
  5. Masulupwete

    Maongezi vijana wa Tanzania; 96% ni pumba

    make kwanza ncheke mie😂🤣
  6. Masulupwete

    Kumbe Wanawake wengi wasioitikia salamu sio kuwa hawasikii, ni dharau tu

    Kwa kweli mm sikumbuki lini niliacha kusalimia wadada ila ni zamani sana na hasa baada ya kugundua hata ukisalimia mwenzio anauchuna. saivi siwasalimii kabisa labda aanze yeye mm ntamwitikia. nilichojifunza ukiona mdada hasa hawa wabichi au warembowarembo ukiona anakusalimia basi ujiandae...
  7. Masulupwete

    Wanawake wakifikia miaka 30 kwenda mbele unaweza kuwahurumia, sema ndiyo hivyo una familia

    Kwa kweli usiombe ukute mwanamke yupo ule umri wa kuinuka manyonyo na ukute bado hajazaa utakoma uwa wanasumbua hakuna mfano.
  8. Masulupwete

    Tupe uzoefu wako Muda wa Kukaa na Namba ya Simu Usizotumia

    Wakuu hawa wadada wamewafanya nini?
  9. Masulupwete

    Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

    mie bado sijaelewa iyo chakuwaha ndonn ni chama cha mabachela, wapigatonye au
  10. Masulupwete

    Salary slip ya mwajiriwa fulani serikalini. Umejifunza nini kutoka kwa huyu kamanda?

    Dooh kwa hali hii alafu unakuta tume inaundwa kuchunguza kwann upigaji serekalini umezidi. Huyu anaishi juu ya uwezo wake,,ili mambo yaende lazma akwibe huyu,,,trust me
  11. Masulupwete

    Tupe uzoefu wako Muda wa Kukaa na Namba ya Simu Usizotumia

    Kuna namba unakuta unayo kwenye simu yako lakini inaweza ikapita miaka na miaka hujawahi kumpigia huyo mhusika na wala huyo mwenye iyo namba hajawahi kukupigia wewe. Japo inaweza kutokea mara chache sana ukajikuta unahitaji kumpigia mtu lakini mara nyingi namba hizi zinazoishia kujaza simu tu...
  12. Masulupwete

    Tamko kutoka shirika la ndege Tanzania ATCL baada ya picha za tairi za moja ya ndege zake kusambaa zikionekana kuchakaa...

    Mkuu uko sahihi ila ambacho hujaelewa wkt wa bwana yule hayo yote ya kufuata utaalam yaliwekwa pembeni ilikuwa ni mwendo wa kuunga mkono juhudi na kujisikifia wameokoa gharama . Ukumbuki kuna ndege ilipakwa rangi ya nyumba!
  13. Masulupwete

    Wataalamu wa Jiji vyumba maeneo ya upanga na maeneo jirani vinasomekaje

    Kama wewe ni ke nicheki tushee rum
Back
Top Bottom