mhuuu! mbona mwarabu amesima kama mtu alichoshwa na siasa uchwara? naona 6 anamwambia hata mimi niko hoi na magwanda haya ya kijani natamani kaki lakini nitakwendaje bila viatu?
<br /><br />
<br /><br />
wakuu ninachojua ni mwimbaji,mashaka yangu ni kuwa, asijekuwa amevaa ngozi ya kondoo kumbe mbwa mwitu na ikawa mbinu mpya ya chama cha mapinduzi kama ccj.naomba habari zake zaidi kwa mtu anayemfahamu.Nimemsitukia wakuu.
JAMANI TANGU NIANZE KUONA NA KUSIKIA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI, HUYU JAMAA MWISHO WA MAMBO, KWANZA NILISHUDIA UZINDUZI WA ALBUM YAKE DIOMOND JUBILEE MPAKA SAA TISA UKUMBI ULIKUWA UMEJAA KABISA MPAKA MWAISHO NA WATU WENGINE WALIOKUWEA WAMEKATA TIKETI KUKOSA HATA MAHALI PA KUINGILIA ILIBIDI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.