hawana galama yeyote ukitaka ushauri kuhusu mambo ya ajira ww nenda utapatiwa mtu atakushauri vizuri sana.mm wameshanipa msasa na nilishukuru sana mana mambo mengi nilikuwa sijui.
dada yangu usife moyo majaribu mengi huja wakati wa shida na msije mkagombana kwa hili mungu anaweza yote na unapoona matatizo yanazidi ujue neema inakaribia.mungu atatenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.