Recent content by masterplanner

  1. M

    Hivi serikali inatowa wapi uwezo wa kubishana na satellite(teknolojia)?

    Hahahaha, Hawa jamaa wanajua tuko mwaka 1970.
  2. M

    PostGE2025 Gen Z sio kizazi cha wafia dini

    Dini ni moja ya kitu Cha hovyo sana kwenye huu ulimwengu.
  3. M

    Wajumbe/mabalozi wa CCM watupa bendera za chama chao

    Kuna mmoja namnukuu alisikika akisema "Samia katuulia watoto wetu, Samia katuulia wapiga kura wetu, Samia katuchonganisha na wananchi". Nikakumbuka alivyokuwa akitamba na kauli zake za MAMA MITANO TENA. Nikabaki nacheka kama mazuri vile.
  4. M

    CCM ijisahihishe sasa

    Ni kwasababu CCM bado inafanya siasa kama wako mwaka 1990. Inaonekana hawana strategies tena, wanajaribu kupambana na nyakati lakini nyakati inawakataa.
  5. M

    GE2025 Huko CCM hakuna mwenye akili kidogo hata mmoja?

    Yupo Wasira, Pinda na Sumaye wana akili nyingi sana, ngoja watatoa ushauri tu
  6. M

    GE2025 Kama uchaguzi unaibiwa Nchi nzima na hakuna cha Polisi, TISS, JW wala TAKUKURU wameongea chochote basi hatuna nchi wala serikali

    Yaani uchaguzi haukuwa wa ushindani still mtu anaiba kura, yaani kuiba kura kwao ni Culture. Inashangaza sana
  7. M

    Hivi Yeriko Nyerere anatutaka nini watanzania?

    Hahahaha huyo jamaa ni mtu bogus na mchumia tumbo, 2015 aliwaambia watu waandae suti Lowasa kachukua nchi......... Ni mtu opportunist.
  8. M

    GE2025 Kihongosi: Mtu yuko nje ya Nchi anakwambia andamana na wewe unaingia barabarani unafanya uhalifu, hii haikubaliki. Niongelee watu kufa kwenye nini?

    Alafu jamaa alikataliwa na baba yake huyu. Kalelewa na shangazi yake kwa shida, Leo Yuko kwenye nafasi anaongea bila kutafakari, inasikitisha sana, kashalewa madaraka.
  9. M

    PostGE2025 Media za Tanzania mko wapi? Ni kama mnaishi nchi nyingine! Wote mpo kimya juu ya unyama uliofanywa kwa Watanzania. Hatutasahau!

    Ila nimeshangazwa sana na Clouds Media , wanaripoti kifo Cha mwandishi mwenzao as if amekufa kwa ugonjwa tu kumbe kapigwa chuma Tena getini kwake.....wameogopa kusema.
  10. M

    Waliochochea vurugu washughulikiwe

    Ww unaamini ni no reform no election ndiyo imeleta yote haya? Ukishaona nchi watu wanavunja maduka na kuiba mali, ujue Kuna chuki kubwa inayotokana na gap kati ya walionacho na wasio nacho. Kwa bahati mbaya sana NO ONE CARE.
  11. M

    Waliochochea vurugu washughulikiwe

    Sasa Hawa wanahusikaje? wakati wote wako ndani hao
  12. M

    GE2025 Tumshukuru Samia kwa kutuvusha mpaka hapa, lakini tumwambie ukweli: Viatu havimtoshi

    Hivi mkuu ww unaamini Mama Samia akiondoka kwenye hicho kiti huyo atakayekuja ndiyo atakuwa na hizo vision kubwa za kuestablish hizo AI Data centers. Kwanza Africa hayo mambo siyo priority, na ukitaka kuprove Hilo pitia ilani za vyama vya siasa ndiyo utaelewa kuwa hii Africa bado sana. Na kwa...
  13. M

    Hivi Tanzania nani akifa atapata heshima ya upendo kama ninayoiona kwa Raila Odinga

    Ni viongozi na wanasiasa wachache sana Afrika hii wanaoweza kupewa heshina kama hiyo, viongozi wengi Africa hawapendwi na raia.
Back
Top Bottom