Kama unasema wanaopiga kura kwa Fatma au Maria ni wale wanaoioppose serikali nenda jaribu kupita kwenye post ya mwisho ya Pombe twitter soma comments utajua hujui unachojua,wala ustumue nguvu nyingi
Ndo namwambia huyo ndugu yangu kuachana na ushabiki,CDM huko vijijini inaamsha vibaya sana,yeye atakua anaongelea Chato labda!!watu wameamka sana miaka hii
Mzee wangu mimi ni Ccm ila tuache ushabiki,mambo kwa ground ni tofauti saana...hali mbayaa mzee wangu...ndani moto unawaka, nje moto unawaka kwelikweli...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimecheka sanasanaa..yani Muuza ndizi anatufokea???anapata wapi ujasiri huo yani kipindi hiki kwamfano??yani anatufokea sisi???Subiri[emoji23][emoji23][emoji23]
Kijiji gani??we ongelea kijijini kwenu tu mzee, huko kwenu inaelekea bado ni ulimwengu wa giza...mi nafanya projects vijijini mikoa tofati watu wameamka mnoo!!watu hawaitaki Ccm na Ccm mwaka huu inaanguka
Halafu kasema hajafanya kitu Hai huku anasema huwezi pata kura kwa hoja za umeme, maji,barabara na mahospitali maana zipo toka uhuru...Sasa hicho kitu ambacho hajafanya ni kipi??
Asante...kwanza Mbowe hajatokea milimani, kwao ni Lambo jirani kabisa na Machine Tools(Njiapanda ya Machame)all in all hakuna Ccm itakuja kutawala Hai mpaka dunia inaisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.