Recent content by Master SM

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Suwezi kupata dawa ya kuharisha ya hospitali ikatoa pamoja na huo uchawi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye swali lolote kuhusu Tiba za uchawi

    Dawa ya kutoa uchawi niliokula kwenye chakula
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nilivyopewa masharti na Majini

    Semu ya nne naisubiri
  4. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Asante sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Mwongozo wa gharama zake vipi?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Shukran
  7. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Ndio natumia doz bado sijamaliza, kinachonipa hofu pia ni kupungua mwili ndani ya muda mfupi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Sio imani za kishirikina dada, kwani mtu hawezi kukuwekea sumu kwenye chakula? Kama hakupendi
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Nimepima wakanikuta na amoeba
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Binadamu lazima uwe na hofu pale unapohisi mazingira sio salama kwa uhai wako
  11. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Nini njia ya kujitibu au kukwepa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Nimeenda maabara nimejieleza naambiwa nipime minyoo, Sasa najiuliza minyoo na nilichoendea mbona tofauti?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Comment zako zinaonyesha wewe ni mtu mwenye husda
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Acha dharau kaka, wewe unadhani umekamilika eti?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahisi mwilini nina sumu

    Habari zenu wanajamvi, naandika haya nikiwa nahofu kutokana na hali ninayohisi; nahisi mwili kupungua mwilini, nahisi baridi tofauti na awali bila mabadiliko ya hali ya hewa. Nilishawahi kuleta Uzi humu jukwaani kuhusu maswaiba ya kazini na mauzauza kisa cheo, Sasa nahisi nimelishwa kitu...
Back
Top Bottom