Recent content by master maths

  1. master maths

    Ulianzaje kukaa gheto?

    niende kwenye mada moja kwa moja, baada ya kujichanga sana nimefanikiwa kupata pesa ya kuanza maisha ya kujitegemea Pesa ya kodi (chumba 30000/= ) kwa mwezi Napatikana dar es salaam, Kitanda, godoro, n.k.... Shida yangu ni hii ndugu jamaa na marafiki Nahitaji vitu vya ndani vilivyotumika...
  2. master maths

    Ulianzaje kukaa gheto?

    https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1884170/
  3. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Salama mkuu, nakuja inbox tuangalie namna gan tunatumiana katka kulijenga taifa
  4. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Barikiwa sana mkuu, na ikitokea mtu ana uhitaj wa mtaalam wa maths usisite kunistua
  5. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Barikiwa ikiwa inaitajcha mtaalam wa maths usisite kunistua
  6. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Two Ila niliipata kwa kudra za mwenyez mungu, coz ilibd nijitafutie ata ela ya Kusurvive ili maisha yaendelee
  7. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Nilikosa mkopo yan ata boom, na hii ilitokana na chet changu cha kuzaliwa kaz ya baba ilikua n mechanical engineering, nilifanya kua appeal lakn hali ilikua vile vile apo kumbuka anko ndio yupo madarakan Nikawa sina namna zaid ya kukubaliana na matokeo Na nilipofanya tasmi nikaona "chuo is not...
  8. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Mwalami mwaramsha wa kule kkoo mtaa wa msimbaz Kama unamaanisha uyo bas ndio kwa namna moja au nyingne alisaidia kuongeza maarifa kwa master maths
  9. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    [emoji3] [emoji3] [emoji3] Swali kukosewa ilo linajulikana au mtu aliweka swal katka mazingira ya kutokufanyika Lakn kwa majina ya matango pori huwa yanafanyika kihun hun tu (assumptions kibao) Na njia maarufu kwa matango pori n checking method...
  10. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Nashukuru kwa uchambuz wako, na kukubaliana na mim kimantik hisabati na hesabu zina maana sawa ambayo wote watazungumzia NAMBA
  11. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Mkuu kusoma pcm/pcb/pcm Lazima uandae bajet kwenye physics kuhusu tuition(mechanics wave ) hiv hiv kutoboa itakua ngum By the way nilisoma minaki bweni milambo mpishi alikua faza na mkuu wa shure alikua chungu mama mlezi mama kinyogori
  12. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Mtata yule msabato hakuwai kunifundsha ila iko kipnd yupo kwa tcher Don izra nilikutana nae sana Na ndio tukajua apo Alienifundsha n mwalami tu
  13. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Ntashukuru sana mkuu maana ukiacha na idea hyo pia nilikua na wazo website au blog kwa ajir ya maths articles na videos Lakn sapot na connections that's all failed me
  14. master maths

    Maths killer, mwenye mbinu nyingi na kuifanya maths kuwa kama civics

    Sikufel mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] Hidden, mwalami, Elias T.O, logman, mtatuz wote nawajua na wananifaham Coz kuna kpnd nilikua mchikchik Mtatuz mara ya mwsho alikua analalamika mwalami kamloga so akatoka boma kwa muda alikua na richer don izra Mwalami kanifundsha sana(much respect kwake)...
Back
Top Bottom