niende kwenye mada moja kwa moja, baada ya kujichanga sana nimefanikiwa kupata pesa ya kuanza maisha ya kujitegemea
Pesa ya kodi (chumba 30000/= ) kwa mwezi
Napatikana dar es salaam,
Kitanda, godoro, n.k....
Shida yangu ni hii ndugu jamaa na marafiki
Nahitaji vitu vya ndani vilivyotumika...
Nilikosa mkopo yan ata boom, na hii ilitokana na chet changu cha kuzaliwa kaz ya baba ilikua n mechanical engineering, nilifanya kua appeal lakn hali ilikua vile vile apo kumbuka anko ndio yupo madarakan
Nikawa sina namna zaid ya kukubaliana na matokeo
Na nilipofanya tasmi nikaona "chuo is not...
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Swali kukosewa ilo linajulikana au mtu aliweka swal katka mazingira ya kutokufanyika
Lakn kwa majina ya matango pori huwa yanafanyika kihun hun tu (assumptions kibao)
Na njia maarufu kwa matango pori n checking method...
Mkuu kusoma pcm/pcb/pcm
Lazima uandae bajet kwenye physics kuhusu tuition(mechanics wave ) hiv hiv kutoboa itakua ngum
By the way nilisoma minaki bweni milambo mpishi alikua faza na mkuu wa shure alikua chungu mama mlezi mama kinyogori
Ntashukuru sana mkuu maana ukiacha na idea hyo pia nilikua na wazo website au blog kwa ajir ya maths articles na videos
Lakn sapot na connections that's all failed me
Sikufel mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hidden, mwalami, Elias T.O, logman, mtatuz wote nawajua na wananifaham
Coz kuna kpnd nilikua mchikchik
Mtatuz mara ya mwsho alikua analalamika mwalami kamloga so akatoka boma kwa muda alikua na richer don izra
Mwalami kanifundsha sana(much respect kwake)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.