master maths
Member
- May 22, 2018
- 18
- 27
- Thread starter
- #21
Nashukuru kwa uchambuz wako, na kukubaliana na mim kimantik hisabati na hesabu zina maana sawa ambayo wote watazungumzia NAMBAHESABU=Taaluma ya utambuzi wa namba.
HISABATI=Taaluma inayojihusisha na matendo katika namba,aljebra na jometri!