Niko masaa kwenye zile panda shuka ukiwa wakaribia mikumi ukiwa watokea Iringa,kwa mbaliii nikaona mbwa inavuka barabara na amemaliza yuko kwenye ile chaki ya njano anaingia zako kwenye majani huko,moyoni si nikasema ameshavuka tyri anaenda zake porini so sikupunguza mwendo....bwana weeee ile...
Metro ni mziki mwingine huo...yaan nilikuwa naharisha kabla ya safri nikachukua huo mzigo nikauywa walahi nilikuwa natanua miguu nitakavyo...nilisafri poa mno hadi si kuamni kama nimefika salama kabisa
Ukipata sehemu wanayochangany vizuri rangi huwezi ona chochote ila bei huwa juu mno maana robo tu wanakwambia 35000 ila hizi za makanjanja wa kawaida robo ni 7000 ndio hizo zikifanana omba Mungu
Gari ilienda ina matatizo mengine imerudi inachemsha sijui hata walichokonoa wapi, tukawarudishia ndio wanahangaika nayo but inaonekan imeshawashinda haijakaa sawa tunaambiwa battery tena imebutuka.....yaani kuna mafundi unaweza ukawapika ulie ugali, ila watailipa tu hiyo battery
Jiamni tu..nilijifunzia manual siku tatu tena kwa mtu tuu ,nilienda kujifunza baada ya kuona mzee kanunua gari na hawezi nipa gari yake niendeshe hadi niwe na leseni.Baada ya hapo nikawa naingia barabarani changamoto zilikuwepo ni kile kiuoga fulani hvi but nilikuja nikazoea na hapo naingia...
Ha ha niliumiza sana kichwa kwa lengo la kutaka kujua tu, maan niliikuta gari showroom nikalipia tukaifanyia usajili ila kuingia nayo kitaa nakuta plate number zimepaa kinoma sasa ikawa waswasi wangu isije kuwa niliuziwa gari iliyotumika, hiyo ndio sababu ya kuandika huu uzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.