Recent content by Massawejr

  1. Massawejr

    kikulacho kinguoni mwako

    mimi sina kanisa ila hilo lilikuwa la walokole
  2. Massawejr

    Hivi kuna ajira ambayo inahitaji ulipie mkataba?

    hahahah bwashee nimekuja kutafuta ela na sio kutapeliwa
  3. Massawejr

    Hivi kuna ajira ambayo inahitaji ulipie mkataba?

    Hivi ndugu zangu kuna ajira ambayo mtu anabidi alipie kwanza nkataba ili aweze kusaini mkataba ule maana hii iananichanganya kidgo?
  4. Massawejr

    kikulacho kinguoni mwako

    we acha tu ndugu yangu, binadamu amekuwa kiumbe cha ajabu sana.
  5. Massawejr

    kikulacho kinguoni mwako

    na kumgundua pia shetani kwa maisha yetu ya sasahivi ni ngumu sana
  6. Massawejr

    kikulacho kinguoni mwako

    katika maisha kuna ule usemi wahenga walikuwa wnatumia wakiwa wanasema kikulacho kinguoni mwako, basi usemi huu umekuwa wa kwel katika maisha yetu ya kila siku ambapo wale tunao waamini sana na kudhani nkuwa ni marafiki zetu wa karibu ndio hao ambao wanaongoza kwa kutusaliti. mfano katika moja...
  7. Massawejr

    Kukosekana kwa uelewa wa baadhi ya vitu kwenye jamii

    Wadau, kumbe kuna watu wanamiliki vyombo mbalimbali vya kiteknolojia kama simu jana na komputa ila bado wamekuwa na ufinyu wa kujua taarifa mbalimbali kupitia vifaa vyao. Mfano siku ya jana nilikuwa nikiongea na watu fulani ambao ni marafiki zangu kuhusu uwepo wa teknolojia ya akili mnemba ila...
  8. Massawejr

    ChatGPT ameshindwa swali langu?

    kuna wakati mwingine hizi akili mnemba nazo zinafanya makosa sana hasa kwenye kujibu baadhi ya maswali. hapa ndipo unakuja ule usemi wa chakuambiwa changanya na zko.. yaaani wakati anakupa majibu husika hakikisha basi unapembua na kuchambua kilichosahihi na kuacha kile ambacho sio sahihi.
  9. Massawejr

    Usemi wa kwamba mwanamke akikupenda hakuombi ela ni una ukwel kiasi gani?

    Hivi wadau nina swali moja. Hivi ule usemi wa kwamba mwanamke akikupenda hakuombi ela ni una ukwel kiasi gani?
  10. Massawejr

    Nafasi ya upendeleo

    Hii imejipost bahati mbaya tu wala haihusiani kabsa
  11. Massawejr

    Matumizi sahihi ya nafasi ya upendeleo

    Leo nikiwa mishemishe nilipata kusikia mahojiano ya msanii mone centrozone akielezea kuhusu issue ya nafasi ya upendeleo, ambapo anafunguka na kusema mwaka 2017 alipata kuandika ngoma yake na kipindi hikohiko alipata shavu la kutumbuiza katika jukwaa la fiesta chini ya marehemu Ruge Mutahaba...
  12. Massawejr

    Nafasi ya upendeleo

    Kwa upande wangu natamani sana kuona wanafunzi hasa kwanzia kidato cha kwanza mpaka cha sita wanapewa elimu ya kutosha ya kujitegemea. Kwamfano nchi yetu kuna washauri na watu waliobobea kwenye masuala ya teknolojia ya mtandaoni, pia watengeneza maudhui
  13. Massawejr

    Nguvu ya muda

    Yes bidii
  14. Massawejr

    Nguvu ya wakati

    Nimejaribu kuangalia hii picha mara kwa mara na kujifunza baadhi ya mambo kadhaa. 1. Ukifika muda sahihi utapata, hata kama umejaribu mara nyingi ukashindwa lakini amini wakati wako ukifika basi ndio wakati sahihi wa kupata 2. Ukiangalia saa hizo kila moja inasema muda wake baasi tujifunze ya...
Back
Top Bottom