Wakenya wamevamia loliondo na kuanzisha Ngo's,sasa hivi wanajenga mpk kwenye njia za wanyama baada muda hifadhi ya serengeti itakufa.inatakiwa tuwe wazalendo na nchi yetu huwezi ukaenda kenya bila kuulizwa kipande lakini hapa wanaingia wanavyotaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.