Mikataba Ina vipengele vingi.kuna vipengele kadha hawakumtekelea .Kama apartment ya pekeeake,wakisafiri kulala room pekeake.gari havikutekelezwa.kisheria Simba alikiuka makubaliano so alikuwa na haki kuuvunja na kulipwa
Itakuwa unajua mengi.maana madereva walikuwa wanatishia kugoma kwa kukatwa posho za safari, ikiwemo gari inapoharibika na kuka muda mrefu kungoja matengenezo.
Sema wenye shida ya muungano ni Wana CCM wa Zanzibar na viongozi labda.watanganyika Kenya,Uganda,Burundi,msumbiju,Kongo ni muhimu.tuambia faida gani kwa watanganyika wanapata?mwambieni mama Kizimkazi avunje muungano tumewapa fursa kwa mara nyingine.na Kama mwinyi ni mkuranga tufanye butter trade...
Ni utamaduni wa waarabu tu,miti ni shida,hakuna mbao.hata kulala,kukaa ni chini kwenye mikeka,mazuria.kumiliki kitanda au kiti Cha mbao miaka hiyo,kabla UCHUMI kupanda kutokana na mafuta na gesi ni lazima uwe tajiri
Nimejiuliza Sana hii
SI waziri,Wala klabu zote wapo kimya.
Hapo ujue hizi klabu zinaujumiwa Sana Zina uwezo wa kujiendesha Kama watapa support ya serikali.
Ukute milioni 500 za stars kutoka kizimkazi ni faida ya jezi
Atamani kuwa Spain kivipi?kwanini sio Saudi Arabia,Iraq hata Turkey.anajua jinsi ambavyo waarabu hawapendani ,vita zote zinazoendelea huko huwezi sikia wakimbizi wakienda nchi za kiarabu za kislam.wazunhu ambao wanawachukia ndio kimbilia lao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.