Ni utamaduni wa waarabu tu,miti ni shida,hakuna mbao.hata kulala,kukaa ni chini kwenye mikeka,mazuria.kumiliki kitanda au kiti Cha mbao miaka hiyo,kabla UCHUMI kupanda kutokana na mafuta na gesi ni lazima uwe tajiri
Nimejiuliza Sana hii
SI waziri,Wala klabu zote wapo kimya.
Hapo ujue hizi klabu zinaujumiwa Sana Zina uwezo wa kujiendesha Kama watapa support ya serikali.
Ukute milioni 500 za stars kutoka kizimkazi ni faida ya jezi
Atamani kuwa Spain kivipi?kwanini sio Saudi Arabia,Iraq hata Turkey.anajua jinsi ambavyo waarabu hawapendani ,vita zote zinazoendelea huko huwezi sikia wakimbizi wakienda nchi za kiarabu za kislam.wazunhu ambao wanawachukia ndio kimbilia lao
Napata picha Job anavyopata hasira akimuona Jemedari anaongea.huyu mtu wa ovyo anawaongelea negative sana wachezaji wengine.
Kimsingi hakuna ualisia wa kuwaita kuwa ni wahamasishaji.hawana umuhimu ni matumizi mabaya ya fedha.labda Kama wanaandaliwa kuja kusifia awamu ya 6.hapo baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.