Recent content by masonya

  1. M

    Baada ya kufanyiwa Misa Kanisani General Ogolla atolewa Kwenye Jeneza na kuzikwa akiwa na sanda tu

    Ni utamaduni wa waarabu tu,miti ni shida,hakuna mbao.hata kulala,kukaa ni chini kwenye mikeka,mazuria.kumiliki kitanda au kiti Cha mbao miaka hiyo,kabla UCHUMI kupanda kutokana na mafuta na gesi ni lazima uwe tajiri
  2. M

    Mtangazaji mpira Azam Tv anaboa sana

    Kweli uko sahihi
  3. M

    Suala la Jezi Zilizo Kamatwa Limeishia Wapi? Waziri Alitudanganya?

    Nimejiuliza Sana hii SI waziri,Wala klabu zote wapo kimya. Hapo ujue hizi klabu zinaujumiwa Sana Zina uwezo wa kujiendesha Kama watapa support ya serikali. Ukute milioni 500 za stars kutoka kizimkazi ni faida ya jezi
  4. M

    AFCON: Shabiki wa Algeria atimuliwa Ivory Coast

    Atamani kuwa Spain kivipi?kwanini sio Saudi Arabia,Iraq hata Turkey.anajua jinsi ambavyo waarabu hawapendani ,vita zote zinazoendelea huko huwezi sikia wakimbizi wakienda nchi za kiarabu za kislam.wazunhu ambao wanawachukia ndio kimbilia lao
  5. M

    Nashauri Mapinduzi Cup ya Mwakani Belouizdad na Usm Alger zialikwe ili Kuongeza Chachu na kuleta ushindani zaidi

    Kwa hiyo milioni 100? Yanga,Simba wanashiriki kwa heshima tu ya nchi,ni hasara Sana.
  6. M

    Yericko Nyerere ana point kuhusu Kamati ya Hamasa ya AFCON, asikilizwe

    Napata picha Job anavyopata hasira akimuona Jemedari anaongea.huyu mtu wa ovyo anawaongelea negative sana wachezaji wengine. Kimsingi hakuna ualisia wa kuwaita kuwa ni wahamasishaji.hawana umuhimu ni matumizi mabaya ya fedha.labda Kama wanaandaliwa kuja kusifia awamu ya 6.hapo baadae
  7. M

    Huenda msimuone tena Okra uwanjani kwa miezi kadhaa au msimu mzima

    Atakuepo nusu fainali ya mapinduzi iwapo waNANCHI watafuzu,umesikia weKUNDU wa msimbazi
  8. M

    Yanga vs APR, tuchezeshe kikosi B ama C?

    C+ kinatosha
  9. M

    Onana asakwa kama dhahabu

    Baada ya kung'ara kwenye mechi ya kwanza mapinduzi tournament
Back
Top Bottom