Hapo umepaona, ni mfumo wetu m'bovu ndiyo uliomuweka madarakani, na anajivunia sana kuwepo kwa mfumo huu. Tusipobadili huu mfumo tumekwisha. Option b ni kumwaga damu tu.
Heri watetezi wa wauza unga kuliko kiongozi asiejua tafsida katika kila kimtokacho kinywani mwake, wala diplomasia hana kabisa. Nahisi akiwa sirini anatumia ngada.
Pia hatuzitaki hotuba za pombe mubashara. Hili la domo kuwaombea wauza chipsi inanikumbusha m'bunge mmoja zamani aliyeomba kandambili ziongezwe unene. Boda2 mwisho saa 6 usiku, baa hakuna kukesha hizo chipsi watakula mbwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.