Namba Tatu hapo ni suala lake binafsi halihusiani na nafasi yake ya uenyeketi wake, kwani aliwalazimisha mchangie, ndio maana huwa sichangii michango ya kijinga.
Uongo wangu kwa siku ya Leo
1. Mimi ndio nimemtuma Mzee wa Magoma wa Yanga aende mahakamani ili tumuondoe Eng Hersi, alafu baadaye nichukue timu.
2. Vijana wa Gen Z Kenya nawalipa ili kisieleweke
3.Nitagombea Urais wa Tanzania 2025
4. Kuanzia leo siogi hadi Kmc awe bingwa NBC.
Sema na wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.